MKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA KITAIFA WA KANISA MORAVIAN TANZANIA, ATAKA KANISA KULIOMBEA TAIFA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akizungumza na viongozi wa kanisa Moravian Tanzania wakati akifungua Mkutano wa Kitaifa wa kanisa hilo uliofanyika mwishoni mwa wiki hii mjini Dodoma.
Baadhi ya viongozi wa kanisa la Moravian Tanzania wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr Rehema Nchimbi (hayupo pichani) wakati akifungua Mkutano wa kitaifa wa kanisa hilo hapa nchini uliofanyika mwishoni mwa wiki hii mjini Dodoma.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI DODOMA KUHUSU UCHAGUZI MKUU
10 years ago
MichuziPINDA ASHIRIKI IBADA YA UZINDUZI WA MAKAO MAKUU YA JIMBO LA MASHARIKI YA KANISA LA MORAVIAN TANZANIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0130.jpg)
MWENYEKITI WA CCT ASKOFU CHEYO AZINDUA UJENZI WA KANISA LA MORAVIAN TANZANIA USHIRIKA WA MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0130.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5sZNc9Lw_R0/XmY7RY_r1tI/AAAAAAAAHGk/ssBAu-_qJeYObippivw63ua_UK4upagcQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0115.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VolFBkV6uA/XmY7VIaFxkI/AAAAAAAAHGo/v-e3oFFW1VEuafTtOvkrqss_ap9cdpPDQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0116.jpg)
10 years ago
MichuziTANZANIA FELLOWSHIP CHURCHES KUFANYA MKESHA MKUBWA WA KITAIFA KULIOMBEA TAIFA.
Uongozi wa Tanzania Fellowship Churches unatarajia kufanya mkesha mkubwa kitaifa wa kuliombea Taifa,Desemba 31 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mkesha huo una lengo la kuliweka Taifa mbele ya usalama wa Mungu pamoja na kupatikana amani na utulivu kwa Taifa zima kwa ujumla.
Akithibitisha kuwepo kwa mkesha huo kitaifa,Mwenyekiti wa mkesha huo kitaifa,Mchungaji Geodfrey Mallasy amesema mkesha huo una lengo ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0130.jpg)
MWENYEKITI WA CCT ASKOFU CHEYO AZINDUA UJENZI WA KANISA JIPYA LA MORAVIAN TANZANIA USHIRIKA WA MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0130.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5sZNc9Lw_R0/XmY7RY_r1tI/AAAAAAAAHGk/ssBAu-_qJeYObippivw63ua_UK4upagcQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0115.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VolFBkV6uA/XmY7VIaFxkI/AAAAAAAAHGo/v-e3oFFW1VEuafTtOvkrqss_ap9cdpPDQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0116.jpg)
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kanisa Moravian lasaidia
11 years ago
Habarileo11 Jun
Moravian wasikitika kanisa kufungwa
SIKU chache baada ya Askofu wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini, Dk Lusekelo Mwakafwila kutangaza kufunga Ushirika wa Tabata, Jimbo la Misheni Mashariki kutokana na mgogoro ndani ya kanisa, hatua hiyo imelaumiwa kuwa kikwazo zaidi cha kutafuta suluhisho.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIGvBsY57V8x4YUswL8uPo1Oxi0PcmriqipeRlV983I1PEBINdDPCPvpTCgTkZzlnGZAMRDGao4qEvYXYvObsPf/sinema.jpg)
VURUGU KANISA LA MORAVIAN... NI FULL SINEMA