Moravian wasikitika kanisa kufungwa
SIKU chache baada ya Askofu wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini, Dk Lusekelo Mwakafwila kutangaza kufunga Ushirika wa Tabata, Jimbo la Misheni Mashariki kutokana na mgogoro ndani ya kanisa, hatua hiyo imelaumiwa kuwa kikwazo zaidi cha kutafuta suluhisho.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA KITAIFA WA KANISA MORAVIAN TANZANIA, ATAKA KANISA KULIOMBEA TAIFA
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kanisa Moravian lasaidia
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi Ushirika wa Chunya Mjini, limetumia zaidi ya Sh6 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya shule kwa watoto 100 yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi.
11 years ago
GPL
WAUMINI KANISA LA MORAVIAN WAZUA TIMBWILI
Waumini wa Kanisa la Moravian wakizozana wakati wa vurugu hizo. Gari la polisi likiwasili eneo la kanisa.…
11 years ago
GPL
VURUGU KANISA LA MORAVIAN... NI FULL SINEMA
Stori: Haruni Sanchawa
ILIKUWA ni full sinema mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya waumini wa Kanisa la Moravian, lililopo Mwananyamala Msisiri jijini Dar es Salaam kuanzisha vurugu kubwa zilizozimwa na Jeshi la Polisi baada ya kulazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuwadhibiti na hatimaye kuwakamata 29 kati yao. Waumini wakipandishwa kwenye difenda. Inadaiwa kuwa waumini wa kanisa hilo lenye jengo la ghorofa moja...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
IMANI: Waziri atishia kulifuta Kanisa la Moravian
>Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe ametishia kulifuta Kanisa la Moravian kutokana na migogoro ya mara kwa mara inayolikumba.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mgogoro Kanisa Moravian watua kwa msajili
KANISA la Moravian kupitia Kamati yake ya Mpito ya Jimbo la Misheni Mashariki imemwandikia barua Msajili wa Vyama na Taasisi za Dini aliyepo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...
11 years ago
GPL
WAUMINI 30 WA KANISA LA MORAVIAN KORTINI KWA VURUGU
Hii ni safari ya kwenda kusomewa mashitaka yao.
Akina mama wakificha sura zao baada ya kutoka mahakamani.
Watuhumiwa wakiingizwa mahakamani.  …
11 years ago
Michuzi28 Feb
10 years ago
MichuziPINDA ASHIRIKI IBADA YA UZINDUZI WA MAKAO MAKUU YA JIMBO LA MASHARIKI YA KANISA LA MORAVIAN TANZANIA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania