VURUGU KANISA LA MORAVIAN... NI FULL SINEMA
![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIGvBsY57V8x4YUswL8uPo1Oxi0PcmriqipeRlV983I1PEBINdDPCPvpTCgTkZzlnGZAMRDGao4qEvYXYvObsPf/sinema.jpg)
Stori: Haruni Sanchawa ILIKUWA ni full sinema mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya waumini wa Kanisa la Moravian, lililopo Mwananyamala Msisiri jijini Dar es Salaam kuanzisha vurugu kubwa zilizozimwa na Jeshi la Polisi baada ya kulazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuwadhibiti na hatimaye kuwakamata 29 kati yao. Waumini wakipandishwa kwenye difenda. Inadaiwa kuwa waumini wa kanisa hilo lenye jengo la ghorofa moja...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDo*ut8V51bGN2owlZWVoSzUqRTgzMNv4XKk1HebPZmCWtltjck6qEQ4ZiOtEc2phs0cGFmDdQRw*456nsIGX6df/6.jpg?width=650)
WAUMINI 30 WA KANISA LA MORAVIAN KORTINI KWA VURUGU
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA KITAIFA WA KANISA MORAVIAN TANZANIA, ATAKA KANISA KULIOMBEA TAIFA
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kanisa Moravian lasaidia
11 years ago
Habarileo11 Jun
Moravian wasikitika kanisa kufungwa
SIKU chache baada ya Askofu wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini, Dk Lusekelo Mwakafwila kutangaza kufunga Ushirika wa Tabata, Jimbo la Misheni Mashariki kutokana na mgogoro ndani ya kanisa, hatua hiyo imelaumiwa kuwa kikwazo zaidi cha kutafuta suluhisho.
11 years ago
Habarileo21 Jul
Mabomu yatumika kuzima vurugu Moravian
JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi, kutawanya waumini wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni, baada ya makundi mawili yanayovutana, kuibua vurugu kanisani hapo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAbQsoJCe91V0jD9c5rC-JS1Z5exrbzd94nSWRcKKwYpwuDRChf0cIy3EGsrIRrRnw2cH7rcwMK*AziT8VFxyVDj/vurugu5.jpg?width=650)
WAUMINI KANISA LA MORAVIAN WAZUA TIMBWILI
11 years ago
Mwananchi28 Jul
IMANI: Waziri atishia kulifuta Kanisa la Moravian
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Mgogoro Kanisa Moravian watua kwa msajili
KANISA la Moravian kupitia Kamati yake ya Mpito ya Jimbo la Misheni Mashariki imemwandikia barua Msajili wa Vyama na Taasisi za Dini aliyepo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...
11 years ago
Michuzi28 Feb