Mabomu yatumika kuzima vurugu Moravian
JESHI la Polisi jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi, kutawanya waumini wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni, baada ya makundi mawili yanayovutana, kuibua vurugu kanisani hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jun
Mabomu yatumika kuwadhibiti wanafunzi KIU
POLISI na askari wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Fujo (FFU) wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) baada ya wanafunzi wa Fani ya Afya kugoma kuondoka chuoni hapo wakifanya mkusanyiko kulalamikia kuwa fani wanayosoma haijasajiliwa.
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mabomu yatumika kutawanya wananchi Dar ,Tanga
Vurugu na mabomu ya machozi yalidumu kwa takribani saa tatu katika eneo linaloizunguka ofisi ya Kata ya Charambe ambako wananchi walikuwa wanasubiria matokeo huku mkoani Tanga polisi walilazimika kuwatimua kwa mabomu wananchi waliokuwa wakishangilia baada ya mgombea wao kushinda. .
10 years ago
Vijimambo10 Feb
Mabomu yarindima kuzima uvamizi kituo cha polisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Gama-10Feb2015.jpg)
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi na silaha za moto, kuzima maandamano ya wafugaji wa jamii ya Kimasai kutoka mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, waliokuwa wamejipanga kuvamia Kituo Kikuu cha Polisi Sanya Juu, Wilaya ya Siha mkoani hapa.
Wafugaji hao wanadaiwa walikuwa wakishinikiza kiongozi wao anayeshikiliwa (jina halijafahamika), kuachiwa na Polisi Wilaya ya Siha.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HALI TETE MELELA: MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA KUWATAWANYA WAKULIMA
MABOMU ya machozi yametumika kuwatawanya wakulima wa eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro waliokuwa wamefunga barabara ya Iringa - Morogoro wakimtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera aende kusuluhisha mgogoro uliopo baina yao na wafugaji. Wakulima hao wanadai kuwa wenzao watano jana wamevamiwa na wafugaji wa kabila la Wamasai na kuwajeruhi vibaya kwa vitu vyenye ncha kali sehemu za siri na kupelekea kulazwa katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeIGvBsY57V8x4YUswL8uPo1Oxi0PcmriqipeRlV983I1PEBINdDPCPvpTCgTkZzlnGZAMRDGao4qEvYXYvObsPf/sinema.jpg)
VURUGU KANISA LA MORAVIAN... NI FULL SINEMA
Stori: Haruni Sanchawa
ILIKUWA ni full sinema mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya waumini wa Kanisa la Moravian, lililopo Mwananyamala Msisiri jijini Dar es Salaam kuanzisha vurugu kubwa zilizozimwa na Jeshi la Polisi baada ya kulazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi ili kuwadhibiti na hatimaye kuwakamata 29 kati yao. Waumini wakipandishwa kwenye difenda. Inadaiwa kuwa waumini wa kanisa hilo lenye jengo la ghorofa moja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDo*ut8V51bGN2owlZWVoSzUqRTgzMNv4XKk1HebPZmCWtltjck6qEQ4ZiOtEc2phs0cGFmDdQRw*456nsIGX6df/6.jpg?width=650)
WAUMINI 30 WA KANISA LA MORAVIAN KORTINI KWA VURUGU
Hii ni safari ya kwenda kusomewa mashitaka yao.
Akina mama wakificha sura zao baada ya kutoka mahakamani.
Watuhumiwa wakiingizwa mahakamani.  …
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU MWEMBEYANGA, MABOMU YA MACHOZI YAPIGWA
VURUGU kubwa zimetokea katika Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar wakati wa tamasha la uzinduzi wa redio mpya ya EFM. Vurugu hizo zilizuka wakati burudani zikiendelea baada ya wananchi kuanza kurusha mawe na askari kuamua kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya. Kutokana na vurugu hizo, tamasha halikuweza kuendelea na inadaiwa baadhi ya watu wamejeruhiwa kwenye vurugu hizo. ...
10 years ago
VijimamboPOLISI WAFYATUA MABOMU YA MACHOZI UBUNGO KUZUIA VURUGU.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania