Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabomu yatumika kuwadhibiti wanafunzi KIU

Sehemu ya wanafunzi hao wakitawanyikaPOLISI na askari wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Fujo (FFU) wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) baada ya wanafunzi wa Fani ya Afya kugoma kuondoka chuoni hapo wakifanya mkusanyiko kulalamikia kuwa fani wanayosoma haijasajiliwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mabomu yatumika kuzima vurugu Moravian

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius WamburaJESHI la Polisi jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi, kutawanya waumini wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Kinondoni, baada ya makundi mawili yanayovutana, kuibua vurugu kanisani hapo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabomu yatumika kutawanya wananchi Dar ,Tanga

Vurugu na mabomu ya machozi yalidumu kwa takribani saa tatu katika eneo linaloizunguka ofisi ya Kata ya Charambe ambako wananchi walikuwa wanasubiria matokeo huku mkoani Tanga polisi walilazimika kuwatimua kwa mabomu wananchi waliokuwa wakishangilia baada ya mgombea wao kushinda. .

 

11 years ago

GPL

HALI TETE MELELA: MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA KUWATAWANYA WAKULIMA

MABOMU ya machozi yametumika kuwatawanya wakulima wa eneo la Melela, Mvomero mkoani Morogoro waliokuwa wamefunga barabara ya Iringa - Morogoro wakimtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera aende kusuluhisha mgogoro uliopo baina yao na wafugaji. Wakulima hao wanadai kuwa wenzao watano jana wamevamiwa na wafugaji wa kabila la Wamasai na kuwajeruhi vibaya kwa vitu vyenye ncha kali sehemu za siri na kupelekea kulazwa katika...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yawarudisha chuoni wanafunzi KIU

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SERIKALI imewaruhusu wanafunzi wote zaidi ya 1,000 wa Kitivo cha Sayansi ya Afya katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Kimataifa cha Kampala (KIU), Kampasi ya Dar es Salaam kuendelea na masomo.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi Chuo cha KIU watua kwa DC

NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongolamboto jana waliwasilisha malalalamiko yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi baada ya kufanya mgomo kwa vipindi tofauti bila kupata majibu.
Mamia ya wanafunzi hao walifika katika ofisi ya mkuu wa mkoa saa 6 mchana kwa lengo la kupeleka kilio chao kwa Mkuu wa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadik hata hivyo waligonga mwamba kwa kushindwa kuonana naye.
Baada ya kukosekana kwa Sadik,...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi Chuo Kikuu KIU wavunja viti, vioo

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kampala International University kilichopo Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, wamefanya fujo na kuvunja viti, vioo na samani zingine za chuo hicho, ikiwa kama njia ya kushinikiza kutatuliwa kwa matatizo yanayowakabili.

 

10 years ago

Vijimambo

Wanafunzi UDSM wapigwa mabomu wakidai mikopo.

Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa HESLB, Cosmas Mwaisobwa.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), wanaoishi katika hosteli za Mabibo ambao walikuwa wakiandamana kudai fedha zao za kujikimu.

Walichukua hatua hiyo kutokana na kucheleweshewa mikopo na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HELSB).
Tukio hilo lilitokea usiku walipoandamana kudai wawekewe fedha kwenye akaunti zao...

 

10 years ago

Vijimambo

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.

JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani