POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI
Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa.
Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.
Mmoja wa polisi aliyejeruhiwa katika vurugu za leo.
Wanafunzi na baadhi ya wanaharakati wakiwanyooshea fimbo wanausalama waliokuja kuzuia vurugu hizo.
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI NAIROBI, KENYA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/J_QoF2jqPYJZpEShjaMjUC_1uwspoqYwf-r60fp3oBOUhdg74byNhO59ESUJ9LAAPMRZ7va8T6GpbZ_qHXA6K7p7wjxnV4iXCEWcEVBVyRccJ-b9cOjInStxsEVka9D53wxH6tkugTZpy-RVWnJHxJ7Pd_rZ_zFtnxYuKcGJxWWGs7ezUhHasHVEaMk1arC5JV65iiBZ9w=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/wDnu36pABCOXVo3bc3zOYrQGCPKjioH1TyODkjOD5E-cPTo1uXrK3_41WRcbzB7xsH8du0UeVwdjMyZ4IFjg6Q-_ADBD182IMqgbormVpi6BSUBJxtOaBaqWArQebE9SIidoklmucbDYQAZAxiGMYFNFrwJEg7I-_TDGzFEIbY1oBOk8iEVb-r_5_4qqeVu6pQfMpuW0Qg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/h6zdfRfYc5rKROa3QSVQzhf7jgb8dCPPn6a2ZvDS6EB3oxmLkE1i0tCVJwLwHL6LQYmyR9MDacHklwfhQQ8q9eCTlCoY6KRyIcK-eu2soxvv_QsEwUSIXUUChqGMBvjqzKCjO63coysx87c6WpuY0_6uynKQ4YRTb1cUO21CulkiA6-BF5Xcofgh9Xr42LeCBPXJllRqrw=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/0aJLMyR5m40gq_csPknFQzSo8XI5IJueU7ZmVMEJG2Wcdlw5mJ3FW2vVIFkJOwMra8nP01GhIzdlA4t5pBtrd4eYqwMQeKuWIbueDQZuOTrGPc3OdjSLgFPyPMXZFpPgW-l3Aq3qVGi7WpQLtatQ75u02pzXZrYC_PHfZQz6H5OULAizsabCYArKXtaXYBbJ2GF_6VZhQg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Bb4Yevm0YiuBe0H1kR959vlVdZDO3JU-i6lWhovFeZ5AtOy9CnTHS7fuhC2X99gbiEqA3pOnOtKgbRugYs_DDUZKMa6IWm5_7K93T_MIIcJ5tNia9NytevYrjOXijdcAdgymdK7H6otrKA0YtAvDpzQDtXT7X5kUTR0rqO6UI4mp6CjhNAG007Ruj-zAK95LjZ6rXQzc4Q=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i8AVL_59KQk5FSSPXlDI6ACYnaIqRdXFIOQUhDvfIp6VkMQvecwDQFi8kB2qxAc4VCKh8g5dnssLIODwf7kC2ssouuwoLhOV3hOKM17_VS-CkbhaY97YQfWNgWlSLfBP8EAkEQls-e_IzI6pb6cWjnCCRUiSIK5491LrXQtxQ-vhGPr3rIouBfPU1q76oxWO4SklZe6v_A=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyang'anywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI NCHINI KENYA
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Polisi watumia mabomu kutawanya wakazi Geita
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Polisi Mwanza watumia mabomu kutawanya wafuasi Chadema
NA JOHN MADUHU, MWANZA
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi zaidi ya 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokuwa wamefurika katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya kushuhudia mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita marehemu Alfonce Mawazo ambaye alifariki dunia kwa kukatwa mapanga.
Mawazo alifariki juzi katika mazingira ya kutatanisha huku kifo chake kikihusishwa na masuala ya...
11 years ago
Habarileo17 Jul
Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia
JESHI la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia zilizoibuka baina ya wakazi wa eneo la Bahari-Motors, Kijitonyama, wilayani Kinondoni jijini hapa. Ghasia hizo zilitokana na kuchukuliwa kwa magari ambayo yalikuwa yameegeshwa katika gereji iliyopo eneo hilo.
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia Kiteto
ASKARI wa Jeshi la Polisi wilayani Kiteto, Manyara wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutuliza ghasia zilizosababishwa na jamii ya wafugaji wa Kimasai kuvamia mkutano ulioandaliwa na...
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Chadema waandamana, polisi watumia mabomu kuwatawanya
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi
Gari ya FFU Kaskazini Unguja imepinduka na kujeruhi askari 6 hali yao ni mbaya sana baada ya kupakia mabomu ya machozi na silaha ikipeleka kazini kwa mwendo kasi. Huko Kasikazini Unguja walikuwa wanawalipulia raia wasio na […]
The post Polisi Zanzibar, walipukiwa na mabomu ya machozi appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPLPOLISI WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA MACHINGA WALIOANDAMANA JIJINI DAR LEO