Polisi watumia mabomu kutawanya wakazi Geita
>Mji wa Katoro jana ulizizima kwa mabomu ya machozi wakati polisi walipokuwa wakiwatawanya wanafunzi na wananchi waliofunga barabara kuu ya Geita Bukoba waliokuwa wakiishinikiza Serikali kuwawekea matuta ili kuepukana na ajali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Polisi Mwanza watumia mabomu kutawanya wafuasi Chadema
NA JOHN MADUHU, MWANZA
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, jana lililazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya wafuasi zaidi ya 500 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliokuwa wamefurika katika Hospitali ya Rufaa Bugando kwa ajili ya kushuhudia mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Geita marehemu Alfonce Mawazo ambaye alifariki dunia kwa kukatwa mapanga.
Mawazo alifariki juzi katika mazingira ya kutatanisha huku kifo chake kikihusishwa na masuala ya...
10 years ago
Vijimambo20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyanganywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
10 years ago
Michuzi20 Jan
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI NAIROBI, KENYA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/J_QoF2jqPYJZpEShjaMjUC_1uwspoqYwf-r60fp3oBOUhdg74byNhO59ESUJ9LAAPMRZ7va8T6GpbZ_qHXA6K7p7wjxnV4iXCEWcEVBVyRccJ-b9cOjInStxsEVka9D53wxH6tkugTZpy-RVWnJHxJ7Pd_rZ_zFtnxYuKcGJxWWGs7ezUhHasHVEaMk1arC5JV65iiBZ9w=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/wDnu36pABCOXVo3bc3zOYrQGCPKjioH1TyODkjOD5E-cPTo1uXrK3_41WRcbzB7xsH8du0UeVwdjMyZ4IFjg6Q-_ADBD182IMqgbormVpi6BSUBJxtOaBaqWArQebE9SIidoklmucbDYQAZAxiGMYFNFrwJEg7I-_TDGzFEIbY1oBOk8iEVb-r_5_4qqeVu6pQfMpuW0Qg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9kO4jIy6c7svrbkT6IoUkMaYPp3JlPpDcHILc9Q6680WLO7d-FpkVdOb*x5pbwFQAkVP6vTjxQiPF1OcjPPORE4/6.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/h6zdfRfYc5rKROa3QSVQzhf7jgb8dCPPn6a2ZvDS6EB3oxmLkE1i0tCVJwLwHL6LQYmyR9MDacHklwfhQQ8q9eCTlCoY6KRyIcK-eu2soxvv_QsEwUSIXUUChqGMBvjqzKCjO63coysx87c6WpuY0_6uynKQ4YRTb1cUO21CulkiA6-BF5Xcofgh9Xr42LeCBPXJllRqrw=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9k1R7IhxQ5UaLt48dnG-HSIdKVK27mSInBu9fNGwARefrolZC*IOZ3Ghc2kOVK2aA9zKuMfLJ5ReQzT0tev0Xca/2.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/0aJLMyR5m40gq_csPknFQzSo8XI5IJueU7ZmVMEJG2Wcdlw5mJ3FW2vVIFkJOwMra8nP01GhIzdlA4t5pBtrd4eYqwMQeKuWIbueDQZuOTrGPc3OdjSLgFPyPMXZFpPgW-l3Aq3qVGi7WpQLtatQ75u02pzXZrYC_PHfZQz6H5OULAizsabCYArKXtaXYBbJ2GF_6VZhQg=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9mNbigB9grpbqSkM01iTWWfq-tWeqTjgtBRnQZrAT8KXUd7*dJR1R1hN1MkCEPxQrwp9CIdqCMKoEDJvWWz98j4/3.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Bb4Yevm0YiuBe0H1kR959vlVdZDO3JU-i6lWhovFeZ5AtOy9CnTHS7fuhC2X99gbiEqA3pOnOtKgbRugYs_DDUZKMa6IWm5_7K93T_MIIcJ5tNia9NytevYrjOXijdcAdgymdK7H6otrKA0YtAvDpzQDtXT7X5kUTR0rqO6UI4mp6CjhNAG007Ruj-zAK95LjZ6rXQzc4Q=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9n5h**PADXXMDIZiZ-I*eJm-5NQ0WJZVa-vS8zQNIDIQakrW-5jbDf8p3hWpzYRisgFRvSe9DwekWMUXpiATQP3/5.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/i8AVL_59KQk5FSSPXlDI6ACYnaIqRdXFIOQUhDvfIp6VkMQvecwDQFi8kB2qxAc4VCKh8g5dnssLIODwf7kC2ssouuwoLhOV3hOKM17_VS-CkbhaY97YQfWNgWlSLfBP8EAkEQls-e_IzI6pb6cWjnCCRUiSIK5491LrXQtxQ-vhGPr3rIouBfPU1q76oxWO4SklZe6v_A=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/li0jpfi0h9l5TK5ZAiN*nxCiQieCEVggVKce*cYFj6g1G8eOCOL-6-uMimvDOjtGW5mktTXL*j1CAxJn1KiQr6qMYuljksV7/4.jpg)
JESHI la polisi nchini Kenya limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi wa Shule ya Msingi Lang'ata iliyopo jijini Nairobi walioandamana kupinga kitendo cha kunyang'anywa uwanja wao wa michezo uliouzwa kwa mwekezaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9njT77fdIFjmyQmo6z5SHVxZoBCq7kbVrmdlk5PQmVHt1IZggDbX64XtLhTaBaEHY4jDNlxp*VyzOdRpO-z4Wzt/1.jpg)
POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI NCHINI KENYA
11 years ago
Habarileo17 Jul
Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia
JESHI la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia zilizoibuka baina ya wakazi wa eneo la Bahari-Motors, Kijitonyama, wilayani Kinondoni jijini hapa. Ghasia hizo zilitokana na kuchukuliwa kwa magari ambayo yalikuwa yameegeshwa katika gereji iliyopo eneo hilo.
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Chadema waandamana, polisi watumia mabomu kuwatawanya
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia Kiteto
ASKARI wa Jeshi la Polisi wilayani Kiteto, Manyara wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutuliza ghasia zilizosababishwa na jamii ya wafugaji wa Kimasai kuvamia mkutano ulioandaliwa na...
10 years ago
GPLPOLISI WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA MACHINGA WALIOANDAMANA JIJINI DAR LEO
9 years ago
StarTV15 Nov
Polisi mkoani Geita yakamata watuhumiwa watatu wa mlipuko wa mabomu
Polisi Mkoani Geita wamefanikiwa kuwakamata watu waliohusika na tukio la kulipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu katika nyumba ya Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph tukio lililotokea Oktoba 28 mwaka huu.
Jeshi hilo limewakamata watuhumiwa watatu na milipuko 27 inayotumiwa kufanya uhalifu katika Mkoa wa Geita, Kahama Mkoani Shinyanga na Babati Mkoani Manyara.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Peter Kakamba akizungumza na Waandishi wa Habari amesema watuhumiwa hao...