Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yawarudisha chuoni wanafunzi KIU

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SERIKALI imewaruhusu wanafunzi wote zaidi ya 1,000 wa Kitivo cha Sayansi ya Afya katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Kimataifa cha Kampala (KIU), Kampasi ya Dar es Salaam kuendelea na masomo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini

 Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Dodoma SACP David Misime---Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini  tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30 (kumi na moja alfajiri).        Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP David Misime  ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa...

 

5 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WAWASILI CHUONI KUENDELEA NA MASOMO


Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Chuo kikuu Mzumbe Bi. Rose Joseph akizungumza na Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo kuona maandalizi ya mapokezi ya Wanafunzi.
Moja ya matanki yaliyosimikwa katika mazingira ya Chuo kikuu Mzumbe kwa ajili ya Wanafunzi kunawa mikono kabla na baada ya kuingia darasani.
Mkuu wa kituo cha Afya Chuo kikuu Mzumbe Dkt.Paschal Songoro akizungumza na Waandishi wa Habari na kuwaonesha maandalizi ya mazingira ya kuwapokea Wahisiwa wa ugonjwa endapo watatokea

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi hiki ndicho mlichokifuata chuoni?

“AONYWAYE mara nyingi akishupaza shingo itavunjika.” Huu ni msemo wa Kiswahili ambao hutumika kwa maonyo katika jamii inayotuzunguka. Msemo huu ni mfupi sana kwa maneno, lakini ni mpana kwa maana...

 

10 years ago

Habarileo

Mabomu yatumika kuwadhibiti wanafunzi KIU

Sehemu ya wanafunzi hao wakitawanyikaPOLISI na askari wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Fujo (FFU) wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) baada ya wanafunzi wa Fani ya Afya kugoma kuondoka chuoni hapo wakifanya mkusanyiko kulalamikia kuwa fani wanayosoma haijasajiliwa.

 

10 years ago

Mtanzania

Wanafunzi Chuo cha KIU watua kwa DC

NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongolamboto jana waliwasilisha malalalamiko yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi baada ya kufanya mgomo kwa vipindi tofauti bila kupata majibu.
Mamia ya wanafunzi hao walifika katika ofisi ya mkuu wa mkoa saa 6 mchana kwa lengo la kupeleka kilio chao kwa Mkuu wa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadik hata hivyo waligonga mwamba kwa kushindwa kuonana naye.
Baada ya kukosekana kwa Sadik,...

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi Chuo Kikuu KIU wavunja viti, vioo

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kampala International University kilichopo Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, wamefanya fujo na kuvunja viti, vioo na samani zingine za chuo hicho, ikiwa kama njia ya kushinikiza kutatuliwa kwa matatizo yanayowakabili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Australia yawarudisha wakimbizi makwao

Australia imedinda kutoa tamko kuhusu ripoti kwamba imezuia maboti mawili yaliokuwa yakiwabeba wakimbizi wa Tamil

 

5 years ago

Michuzi

CWT IKUNGI YAWARUDISHA TENA VIONGOZI WAKE,DC MPOGOLO ATOA NENO


Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Wilaya ya Ikungi mkoani Singida jana. kushoto ni Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe na kulia ni Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu.
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo na kushoto ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Winfrida Kunto.
Mwenyekiti Mpya wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu...

 

10 years ago

Vijimambo

TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.

Huyu si ndiyo alisema ni raisi wa wanafunzi na sauti zao hapa chini iweje leo waandike barua ya kujikana?. Siasa za bongo ni chenga kweli yani wala siyo {HD}

Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani