Serikali yawarudisha chuoni wanafunzi KIU
SERIKALI imewaruhusu wanafunzi wote zaidi ya 1,000 wa Kitivo cha Sayansi ya Afya katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Kimataifa cha Kampala (KIU), Kampasi ya Dar es Salaam kuendelea na masomo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uif068THvDA/XtE0B9QHv5I/AAAAAAALr_U/OAwxPrDRKIsQxdgEZTx7LlfQUKrZJv-SACLcBGAsYHQ/s72-c/8f916355-639a-4918-a659-2f8ff135e219.jpg)
WANAFUNZI WAWASILI CHUONI KUENDELEA NA MASOMO
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5741a111-9c45-4484-b283-4a1cbe525c30.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Chuo kikuu Mzumbe Bi. Rose Joseph akizungumza na Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo kuona maandalizi ya mapokezi ya Wanafunzi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4f9e35eb-a987-4fc7-bb88-397bc6f4b2a1.jpg)
Moja ya matanki yaliyosimikwa katika mazingira ya Chuo kikuu Mzumbe kwa ajili ya Wanafunzi kunawa mikono kabla na baada ya kuingia darasani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uif068THvDA/XtE0B9QHv5I/AAAAAAALr_U/OAwxPrDRKIsQxdgEZTx7LlfQUKrZJv-SACLcBGAsYHQ/s640/8f916355-639a-4918-a659-2f8ff135e219.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Wanafunzi hiki ndicho mlichokifuata chuoni?
“AONYWAYE mara nyingi akishupaza shingo itavunjika.” Huu ni msemo wa Kiswahili ambao hutumika kwa maonyo katika jamii inayotuzunguka. Msemo huu ni mfupi sana kwa maneno, lakini ni mpana kwa maana...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Mabomu yatumika kuwadhibiti wanafunzi KIU
POLISI na askari wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Fujo (FFU) wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) baada ya wanafunzi wa Fani ya Afya kugoma kuondoka chuoni hapo wakifanya mkusanyiko kulalamikia kuwa fani wanayosoma haijasajiliwa.
10 years ago
Mtanzania07 May
Wanafunzi Chuo cha KIU watua kwa DC
NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala (KIU) kilichopo Gongolamboto jana waliwasilisha malalalamiko yao kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi baada ya kufanya mgomo kwa vipindi tofauti bila kupata majibu.
Mamia ya wanafunzi hao walifika katika ofisi ya mkuu wa mkoa saa 6 mchana kwa lengo la kupeleka kilio chao kwa Mkuu wa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadik hata hivyo waligonga mwamba kwa kushindwa kuonana naye.
Baada ya kukosekana kwa Sadik,...
10 years ago
Habarileo15 Apr
Wanafunzi Chuo Kikuu KIU wavunja viti, vioo
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kampala International University kilichopo Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, wamefanya fujo na kuvunja viti, vioo na samani zingine za chuo hicho, ikiwa kama njia ya kushinikiza kutatuliwa kwa matatizo yanayowakabili.
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Australia yawarudisha wakimbizi makwao
5 years ago
MichuziCWT IKUNGI YAWARUDISHA TENA VIONGOZI WAKE,DC MPOGOLO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Wilaya ya Ikungi mkoani Singida jana. kushoto ni Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe na kulia ni Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu.
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo na kushoto ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Winfrida Kunto.
Mwenyekiti Mpya wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu...
10 years ago
Vijimambo27 Mar
TAMKO LA UONGOZI WA SERIKALI ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU DODOMA KULAANI KUHUSISHWA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU VYA DODOMA NA KUMUOMBA MH. LOWASA KUGOMBEA URAIS.
Tamko la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma Kulaani Kuhusishwa Kwao Kumshawishi Lowassa Kuchukua Form ya Uraisi
Ndugu Waandishi wa habari, Tunapenda kutanguliza shukrani za dhati kwenu kwa kufika katika eneo hili kutusikiliza.Mbele yenu ni viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vilivyopo mkoani Dodoma.Ndugu waandishi...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10