CWT IKUNGI YAWARUDISHA TENA VIONGOZI WAKE,DC MPOGOLO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Wilaya ya Ikungi mkoani Singida jana. kushoto ni Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe na kulia ni Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu.
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo na kushoto ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Winfrida Kunto.
Mwenyekiti Mpya wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VNMpxXKGWKc/XlPaFTgvXII/AAAAAAALfG0/5JhQM0jzSN8Sd92NxuCrWc4JyDDjiTCiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.44.23%2BPM.jpeg)
SPIKA NDUGAI ATOA NENO KWA VIONGOZI WAKUU WA DINI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI VIRUSI VYA UKIMWI, UNYANYAPAA
Ametoa ombi hilo jijini Arusha wakati akifungua mkutano maalum ulioandaliwa na ofisi yake kupitia NACOPHA chini ya mradi wa Hebu Tuyajenge unaofadhiliwa na USAID kutoka kwa watu wa Marekani. Mutano huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s72-c/RG1A1518.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA NENO KWA VIONGOZI VYA VYAMA VYA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s400/RG1A1518.jpg)
“Hivyo basi, tudumishe utulivu, amani, mshikamano pamoja na ustaarabu wetu wa Kitanzania katika kipindi chote cha kampeni na Uchaguzi Mkuu ili kulifanya Taifa letu kuendelea kuwa kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa barani Afrika na duniani kwa ujumla.”
Waziri Mkuu...
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mukoba achaguliwa tena Rais wa CWT
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamemrudisha madarakani rais wake, Gratian Mukoba na wasaidizi wake, hivyo kuwafanya waendelee kuwa madarakani hadi mwaka 2020.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WhMTwp-RID0/XlUVnIO0Z2I/AAAAAAACzZU/FgySK8KdIHsJIVadfSgtYyWj4_FwNODKACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
JANUARY MAKAMBA ATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WhMTwp-RID0/XlUVnIO0Z2I/AAAAAAACzZU/FgySK8KdIHsJIVadfSgtYyWj4_FwNODKACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Hayo ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter, wakati akimjibu mwananchi aliyehoji kauli ya Waziri wa sasa Azzan Zungu, aliyedai kuwa suala la mifuko hiyo lilisimamiwa na viongozi wa juu bila kumtaja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200320-WA0020.jpg)
DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sks7sHqEEng/XnTpv6Hlf_I/AAAAAAAAkZY/ckJKRDusfB0br2U83h6PmENGW4hB4pJ-ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200320-WA0020.jpg)
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Samatta atoa neno zito Stars
BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.
10 years ago
GPLKAMANDA MPINGA ATOA NENO MGOMO MADEREVA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QKalFa_iaQ8/XphoRM0hl0I/AAAAAAAAkuI/8Va850f-xBo98gTvyIt7TXhxEFD_7MvjgCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-16-17h13m20s924.png)
CWT MANISPAA YA SINGIDA CHAPATA VIONGOZI WAPYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QKalFa_iaQ8/XphoRM0hl0I/AAAAAAAAkuI/8Va850f-xBo98gTvyIt7TXhxEFD_7MvjgCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-04-16-17h13m20s924.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYUwYRg0vVU/XnWw5H7LzxI/AAAAAAALknM/3nsdacw3ToUjTMm_NqU-EA74HgHFaJbWwCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1.png)
Corona yasitisha uchaguzi wa viongozi wa CWT Ngazi za wilaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYUwYRg0vVU/XnWw5H7LzxI/AAAAAAALknM/3nsdacw3ToUjTMm_NqU-EA74HgHFaJbWwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1.png)
Katibu wa chama cha walimu CWT mkoa wa Njombe Mwalimu Fraten
KwaisonNa Amiri kilagalila,Njombe
Kutokana na tishio la ugonjwa wa Corona (COVID 19) unaeoendelea kuenea nchi nyingi Duniani huku Tanzania ikifikia wagonjwa 6 mpaka sasa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waziri wa afya maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Ummy Mwalimu.
Katibu wa chama cha walimu CWT mkoa wa Njombe Mwalimu Fraten Kwaison amesema kutokana na agizo la serikali kuwataka watanzania kutokujihusisha na mikusanyiko...