Corona yasitisha uchaguzi wa viongozi wa CWT Ngazi za wilaya
Katibu wa chama cha walimu CWT mkoa wa Njombe Mwalimu Fraten
KwaisonNa Amiri kilagalila,Njombe
Kutokana na tishio la ugonjwa wa Corona (COVID 19) unaeoendelea kuenea nchi nyingi Duniani huku Tanzania ikifikia wagonjwa 6 mpaka sasa kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waziri wa afya maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Ummy Mwalimu.
Katibu wa chama cha walimu CWT mkoa wa Njombe Mwalimu Fraten Kwaison amesema kutokana na agizo la serikali kuwataka watanzania kutokujihusisha na mikusanyiko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI NGAZI YA TAIFA NA KAMATI YA UTENDAJI CHAMA CHA WALIMU TANZANIA (CWT)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa ngazi ya taifa na Kamati ya utendaji ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) alipokutana nao kwa lengo la kuwapongeza viongozi hao. Kulia ni Rais wa Chama Walimu Tanzania (CWT) Bi. Leah Ulaya.Sehemu ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) wakifuatilia kwa makini maelezo ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu...
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Virusi vya corona: Marekani yasitisha matumizi ya dawa ya hydroxychloroquine kutibu corona
5 years ago
MichuziCWT MANISPAA YA SINGIDA CHAPATA VIONGOZI WAPYA
Wajumbe wa mkutano mkuu wa CWT ndani ya Manispaa ya Singida wilayani hapa wakiwa kwenye mkutano huo.Baadhi ya viongozi wapya wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya...
5 years ago
MichuziCAF YASITISHA MASHINDANO YA CHAN KUHOFIA CORONA
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limeahirisha Mashindao ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani (CHAN) kufuatia kuongezeka kwa maambukizi ya COVID19 (virusi vya corona)Mashindano hayo yalipaswa kuanza April 04 mpaka April 25 2020 huko Cameroon.
Tanzania ni miongoni mwa timu zilizokuwa zishiriki mashindano hayo ambapo kikosi cha Stars bado kiko kambiniBaada ya uamuzi huo ni wazi kambi itavunjwa na wachezaji kurejea kwenye timu zao kuendelea na ligi kuu (kama TFF...
5 years ago
CCM BlogCCM YASITISHA MIKUTANO KUKABILIANA NA CORONA NA YAMTAHADHRISHA MBOWE
Agizo hilo limetolewa leo tarehe 17 Machi 2020 na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole...
9 years ago
Vijimambo9 years ago
Vijimambo9 years ago
Vijimambo9 years ago
VijimamboTUME YA UCHAGUZI YATOA MATOKEO YA AWAMU YA SABA(7) KWA MAJIMBO 51 YA UCHAGUZI KWA NGAZI YA URAIS LEO ASUBUHI
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI