KAMANDA MPINGA ATOA NENO MGOMO MADEREVA
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama barabarani nchini, Mohammed Mpinga akitoa taarifa kwa wanahabari (pichani hawapo) kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Malori, Clement Masanja Kamanda Mpinga (kulia) akisikiliza maswali yaliyoulizwa na wanahabari (hawapo pichani).…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Kamanda Mpinga awaasa madereva
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, amewaasa madereva wa mabasi ya abiria kufuata taratibu, kanuni na sheria, ili kazi yao iweze kuheshimiwa na jamii. Alitoa wito huo...
10 years ago
GPLKAMANDA MPINGA AWAKEMEA MADEREVA WAZEMBE
11 years ago
MichuziKamanda Mpinga awafunda madereva wa UDA kuzingatia sheria za Usalama barabarani
10 years ago
MichuziTBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA-MADEREVA WALIOSABABISHA AJALI KWA UZEMBE KUFUTIWA LESENI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.
Hayo ameyasema leo...
10 years ago
VijimamboKAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani (Trafic), Mohamed Mpinga , ameonya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, alisema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII INAYOPOTOSHA UMMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s1600/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania (Trafic), Mohamed Mpinga (pichani), ametoa onyo kwa baadhi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema, onyo hilo...
11 years ago
Michuzi13 Jun
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AWATAKA MADEREVA NA WAMILIKI WA DALALDALA KUACHA MGOMO
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)