Kamanda Mpinga awafunda madereva wa UDA kuzingatia sheria za Usalama barabarani
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga ( aliyesimama) akifafanua kwa ufasaha vifungu vya sheria za usalama barabarani na miiko ya maadili ya udereva, wakati akifungua warsha ya mafunzo kwa maderva wa kampuni ya UDA jijini Dar es Salaam leo. Aliwafunda madereva hao kuwa wasafi, lugha nzuri na kutabasamu kwa abiria ambao ni wateja wao.Wengine pichani ni Mwenyekiti wa makampuni ya Simon Group,Robert Kisena (kulia) na David Mziray kutoka SUMATRA.
Mwenyekiti wa makampuni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMABASI YA UDA YANAENDESHWA BILA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
10 years ago
Dewji Blog12 Dec
Kamanda Mpinga apokea stika za Usalama Barabarani
![Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya Posta Tanzania, Deo Kwiyukwa (kulia) akimkabidhi Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga stika za taarifa za usalama barabarani zilizotolewa na Benki ya Posta Tanzania (TPB).](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_01251.jpg)
Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya Posta Tanzania, Deo Kwiyukwa (kulia) akimkabidhi Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga stika za taarifa za usalama barabarani zilizotolewa na Benki ya Posta Tanzania (TPB).
Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya Posta Tanzania, Deo Kwiyukwa akibandika kwenye basi moja ya stika za taarifa za usalama barabarani zilizotolewa kwa msaada na TPB. Pembeni yake ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga.
![Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga akibandika kwenye basi moja ya stika za taarifa za usalama barabarani zilizotolewa kwa msaada na TPB.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0112.jpg)
Kamanda wa Kikosi cha...
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Kamanda Mpinga awaasa madereva
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, amewaasa madereva wa mabasi ya abiria kufuata taratibu, kanuni na sheria, ili kazi yao iweze kuheshimiwa na jamii. Alitoa wito huo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ML4L56TWsm8/VKqBsJ4H_jI/AAAAAAAG7aI/QX9AaOdA6rQ/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Ajali za barabarani zapungua nchini - Kamanda Mpinga
![](http://3.bp.blogspot.com/-ML4L56TWsm8/VKqBsJ4H_jI/AAAAAAAG7aI/QX9AaOdA6rQ/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga amesema katika mahojiano maalum kuwa madereva wameanza kuelewa kuwa tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (SMS) wanapokuwa...
10 years ago
GPLAJALI ZA BARABARANI ZAPUNGUA-KAMANDA MPINGA
10 years ago
GPLKAMANDA MPINGA AWAKEMEA MADEREVA WAZEMBE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2jV2YRd0EbU/VIw53Ur9DZI/AAAAAAAG3Bk/_SquiQ7TpLs/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani awaambia madereva chonde chonde zingatieni sheria za usalama barabarani
![](http://1.bp.blogspot.com/-2jV2YRd0EbU/VIw53Ur9DZI/AAAAAAAG3Bk/_SquiQ7TpLs/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
GPLWAZIRI WA MAMBO YA NDANI AWAAMBIA MADEREVA CHONDE CHONDE ZINGATIENI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI