Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamanda Mpinga awaasa madereva

KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga, amewaasa madereva wa mabasi ya abiria kufuata taratibu, kanuni na sheria, ili kazi yao iweze kuheshimiwa na jamii. Alitoa wito huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMANDA MPINGA AWAKEMEA MADEREVA WAZEMBE

Kamanda Mpinga akitoa ufafanuzi juu ya matukio yanayosababishwa na uzembe wa madereva. Baadhi ya wanahabari wakifuatilia mkutano huo. Askari wa kikosi cha usalama barabarani…

 

10 years ago

GPL

KAMANDA MPINGA ATOA NENO MGOMO MADEREVA

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama barabarani nchini, Mohammed Mpinga akitoa taarifa kwa wanahabari (pichani hawapo) kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Madereva wa Malori, Clement Masanja Kamanda Mpinga (kulia) akisikiliza maswali yaliyoulizwa na wanahabari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAMKABIDHI KAMANDA MPINGA RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA NCHINI

 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Stephen Kilindo,(kushoto), akimkabidhi Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. Ripoti ya Upimaji wa afya za madereva, wakati wa Wiki ya Nenda kwa Usalama barabarani iliyofanyika Novemba 22 hadi 28 katika vituo vya mikese, mkoaniMorogoro. Makabidhiano hayo yalifanyika Dar es Salaam juzi.
  Kamanda Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mohammed Mpinga. akitoa shukrani kwa TBL...

 

11 years ago

Michuzi

Kamanda Mpinga awafunda madereva wa UDA kuzingatia sheria za Usalama barabarani

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga ( aliyesimama) akifafanua kwa ufasaha vifungu vya sheria za usalama barabarani na miiko ya maadili ya udereva, wakati akifungua warsha ya mafunzo kwa maderva wa kampuni ya UDA jijini Dar es Salaam leo. Aliwafunda madereva hao kuwa wasafi, lugha nzuri na kutabasamu kwa abiria ambao ni wateja wao.Wengine pichani ni Mwenyekiti wa makampuni ya Simon Group,Robert Kisena (kulia) na David Mziray kutoka SUMATRA. Mwenyekiti wa makampuni...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA MPINGA-MADEREVA WALIOSABABISHA AJALI KWA UZEMBE KUFUTIWA LESENI ZAO.

 Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani Mohammed Mpinga,akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano  na Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama  barabarani Mohammed Mpinga  jijini Dar leo.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.
Hayo ameyasema leo...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)

 Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga akiwasalimia kwa kuonesha vidole baada ya kuzikagua timu za Foma na Mtongani katika mchezo wa nusu fainali ya michuano ya mpira wa miguu ya timu za Bodaboda ya Mpinga Cup, Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam leo.Lengo la mashindano hayo yaliyoshirikisha timu 108 ni kutoa elimu ya usalama barabarani kwa Bodaboda. Kushoto kwake ni Msimamizi wa mashindano hayo, Mrakibu Msaidizi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamanda Mpinga ‘awashukia’ watendaji

Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini imekiri kuwepo kwa watendaji wake wasiokuwa na uadilifu katika kazi zao, ambao waliruhusu gari la Kampuni ya Burudani kuondoka likiwa na abiria zaidi ya 93 bila ya kukaguliwa.

 

10 years ago

Michuzi

Ajali za barabarani zapungua nchini - Kamanda Mpinga

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga(kulia)akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni kuhusiana na maswala ya usalama barabarani,anaeshuhudia kushoto Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga amesema katika mahojiano maalum kuwa madereva wameanza kuelewa kuwa tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (SMS) wanapokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani