Mukoba achaguliwa tena Rais wa CWT
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamemrudisha madarakani rais wake, Gratian Mukoba na wasaidizi wake, hivyo kuwafanya waendelee kuwa madarakani hadi mwaka 2020.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Mukoba rais mpya Tucta
![Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Gratian-Mukoba.jpg)
Gratian Mukoba, rais mpya wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Na Ramadhan Hassan, Dodoma
RAIS wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Gratian Mukoba, amewabwaga ameshinda nafasi ya rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Mukoba alipata kura 172 huku mpinzani wake wa karibu, Mbaraka Igangula, akipata kura 110 na Peter Omollo alipata kura 68 wakati mwanahabari Dismas Lyasa aliambulia kura tano.
Hata hivyo, uchaguzi huo ulitawaliwa na mizengwe miongoni wa...
11 years ago
Habarileo07 Aug
Mukoba awa Rais mpya Tucta
MKUTANO Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), umemchagua Rais wa Chama cha Walimu (CWT), Gratian Mukoba, kuwa Rais wa shirikisho hilo katika uchaguzi uliokwenda raundi mbili, baada ya raundi ya kwanza kukosa mshindi.
10 years ago
KwanzaJamii16 Sep
Mbowe tena Chadema, achaguliwa kwa kishindo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V5duMxNGgOU/VYZnDYsGohI/AAAAAAAHiEg/22Sw8pgt6JA/s72-c/b1.jpg)
BALOZI NGIRWA ACHAGULIWA TENA KUONGOZA BARAZA LA FAO
Katika Mkutano huo ambapo ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri (NW) wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhe. Godfrey Weston Zambi (Mb), Balozi Ngirwa alikuwa...
11 years ago
GPLDIAMOND APAA TENA KIMATAIFA, ACHAGULIWA KUGOMBEA TUZO ZA BET 2014
5 years ago
MichuziCWT IKUNGI YAWARUDISHA TENA VIONGOZI WAKE,DC MPOGOLO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Wilaya ya Ikungi mkoani Singida jana. kushoto ni Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe na kulia ni Mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu.
Mwenyekiti wa CWT Mkoa wa Singida, Aran Jumbe akizungumza kwenye mkutano huo. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo na kushoto ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Winfrida Kunto.
Mwenyekiti Mpya wa CWT Wilaya ya Ikungi, Ladislaus Nkuu...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mkenya achaguliwa makamu wa rais wa ICC
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eKpRHeP3TAQ/U0S-oa-MvkI/AAAAAAAFZXE/CTdoWX0yPzo/s72-c/me1.jpg)
Rais Kikwete achaguliwa Kiongozi Bora Afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-eKpRHeP3TAQ/U0S-oa-MvkI/AAAAAAAFZXE/CTdoWX0yPzo/s1600/me1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amechaguliwa kuwa Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Rais CWT aitupia lawama Serikali