Mkenya achaguliwa makamu wa rais wa ICC
Majaji wa mahakama ya kimataifa ICC wamemchagua jaji wa Kenya Joyce Aluoch kama makamu wa rais wa mahakama hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mahakama yaruhusu Mkenya kufikishwa ICC
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal amkaribisha Makamu wa Rais wa China na Ujumbe wake Ikulu Dar leo, wasaini mikataba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo juni 23, 2014 akiongozana na Ujumbe wake kwa ajili ya mazungumzo. Li Yuanchao, yupo nchini kwa ziara ya siku sita. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Li...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AMKARIBISHA MAKAMU WA RAIS WA CHINA NA UJUMBE WAKE IKULU DAR LEO, WASAINI MIKATABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6HC0MKtC8mQ/U6hMncpZAAI/AAAAAAAFscY/9WxOhZ474cE/s1600/7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1rv0U2h54Yg/VP18Ckr91CI/AAAAAAADbrw/KgWR2FZbLZ8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA SHIRIKA LA SIMU LA VIETNAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-1rv0U2h54Yg/VP18Ckr91CI/AAAAAAADbrw/KgWR2FZbLZ8/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O08GZ4EWbEM/VP18FN4FyEI/AAAAAAADbr8/yPt2KdKdHbg/s1600/2B.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rO-fD9Yy4is/U6w3VfXEWdI/AAAAAAAFtFE/LqXT2koGB9c/s72-c/002.jpg)
Makamu wa Rais wa China akutana na Makamu Wa pili wa Rais wa Zanzibar
Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Rais wa China Bwana Li Yuanchao wakati yeye na ujumbe wake alipofanya mazungumzo Rasmi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiuongoza Ujumbe wa Zanzibar kwa Niaba ya Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s72-c/03.jpg)
MGOMBEA MWENZA, SAMIA SULUHU, WAZIRI WA NCHI, OFISI YA MAKAMU WA RAIS (MUUNGANO) AWAAGA NA KUWASHUKURU WAFANYAKAZI WENZAKE OFISI YA MAKAMU WA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Samia Suluhu, akisoma...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAMU WA RAIS WA CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5m-J1xgXhfQ/VV2y4J3QVqI/AAAAAAAHYys/pZHTR_Y2wxU/s640/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...