BALOZI NGIRWA ACHAGULIWA TENA KUONGOZA BARAZA LA FAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-V5duMxNGgOU/VYZnDYsGohI/AAAAAAAHiEg/22Sw8pgt6JA/s72-c/b1.jpg)
Mkutano wa 39 wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) uliofanyika katika Makao Makuu ya Shirikia hilo jijini Roma hapo tarehe 6 -13 Juni, 2015 umemchagua tena Balozi Wilfred Joseph Ngirwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la FAO (Independent Chairperson of the FAO Council - ICC) kwa kipindi cha miaka miwili (2015-2017).
Katika Mkutano huo ambapo ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri (NW) wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhe. Godfrey Weston Zambi (Mb), Balozi Ngirwa alikuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Mwanamke achaguliwa kuongoza Nepal
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Dk Hoseah achaguliwa kuongoza mapambano ya rushwa A.Mashariki
10 years ago
Habarileo02 Jun
Mukoba achaguliwa tena Rais wa CWT
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamemrudisha madarakani rais wake, Gratian Mukoba na wasaidizi wake, hivyo kuwafanya waendelee kuwa madarakani hadi mwaka 2020.
10 years ago
KwanzaJamii16 Sep
Mbowe tena Chadema, achaguliwa kwa kishindo
11 years ago
GPLDIAMOND APAA TENA KIMATAIFA, ACHAGULIWA KUGOMBEA TUZO ZA BET 2014
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Stephen Keshi kuongoza tena Nigeria
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mugabe ateuliwa tena kuongoza Zanu-PF
10 years ago
Habarileo19 Dec
Profesa Mwamila kuongoza tena shirika la Nyumbu
RAIS Jakaya Kikwete amemteua kwa mara nyingine Profesa Burton Mwamila kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumbu.
10 years ago
CloudsFM30 Jan
WASTARA ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA KAMPENI YA ‘NISAIDIE MIMI SHILINGI 500 NIPATE ELIMU’