Mugabe ateuliwa tena kuongoza Zanu-PF
Rais Robert Mugabe ameteuliwa tena kuongoza chama tawala nchini Zimbabwe na mke wake Grace akapewa wadhifa wa juu katika chama
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Bi Mugabe ateuliwa kuongoza ZANU-PF
10 years ago
Mtanzania17 Aug
Mke wa Mugabe apewa uongozi ZANU-PF
![Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Grace-Mugabe.jpg)
Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe
HARARE, ZIMBABWE
MKE wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, Grace Mugabe, ameteuliwa kuwa kiongozi wa kitengo cha wanawake ndani ya chama tawala cha ZANU-PF.
Grace (49) atakabidhiwa rasmi wadhifa wa kuongoza kitengo hicho katika kongamano la kitaifa la chama hicho ambalo linatarajiwa kufanyika Desemba.
Kwa mujibu wa BBC, cheo hicho kitamruhusu kushiriki mikutano ya Kamati Kuu ya ZANU-PF ambayo kimsingi ndiyo yenye shinikizo kubwa la uendeshaji wa...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/76975000/jpg/_76975310_76974276.jpg)
Grace Mugabe enters Zanu-PF politics
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Mugabe ateuliwa kuwa mwenyekiti wa AU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s72-c/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
RAIS MUSEVENI ATEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA KUONGOZA JUHUDI ZA UPATANISHI MGOGORO WA BURUNDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-5w8I9dGaIQw/VZrsuhNomHI/AAAAAAAHnYU/CNUr8ai9CKU/s400/President-Yoweri-Museveni-weho-has-ruled-Uganda-since-1986-has-been-credited-with-stabilising-the-country-and-stopped-the-politics-of-confrontation..jpg)
Akizungumza wakati wa Mkutano huo, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Richard Sezibera alisema kuwa Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Museveni apewe jukumu la...
11 years ago
MichuziSTEVE NYERERE ATEULIWA KUONGOZA KIKOSI CHA WASANII KUTANGAZA AMANI NCHI NZIMA
10 years ago
GPLDK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Stephen Keshi kuongoza tena Nigeria
10 years ago
Habarileo19 Dec
Profesa Mwamila kuongoza tena shirika la Nyumbu
RAIS Jakaya Kikwete amemteua kwa mara nyingine Profesa Burton Mwamila kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumbu.