Mke wa Mugabe apewa uongozi ZANU-PF
Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe
HARARE, ZIMBABWE
MKE wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, Grace Mugabe, ameteuliwa kuwa kiongozi wa kitengo cha wanawake ndani ya chama tawala cha ZANU-PF.
Grace (49) atakabidhiwa rasmi wadhifa wa kuongoza kitengo hicho katika kongamano la kitaifa la chama hicho ambalo linatarajiwa kufanyika Desemba.
Kwa mujibu wa BBC, cheo hicho kitamruhusu kushiriki mikutano ya Kamati Kuu ya ZANU-PF ambayo kimsingi ndiyo yenye shinikizo kubwa la uendeshaji wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili16 Aug
Bi Mugabe ateuliwa kuongoza ZANU-PF
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mugabe ateuliwa tena kuongoza Zanu-PF
11 years ago
BBC
Grace Mugabe enters Zanu-PF politics
11 years ago
Habarileo21 Aug
Mtoto apewa jina la mke wa Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete ameanza ziara ya Mkoa wa Morogoro kwa kuzindua Mfumo wa Huduma za Afya za Masafa katika Kituo cha Afya cha Mwaya Wilaya ya Ulanga, ambako mtoto mchanga wa kike aliyezaliwa saa chache baada ya uzinduzi huo, alipewa jina la Salma, mke wa Rais Kikwete.
11 years ago
Habarileo03 Oct
Mke wa Rais Mugabe abanwa
MSHINDI wa tuzo ya uandishi nchini Zimbabwe Chenjerai Hove, amemtaka mke wa Rais wa nchi hiyo, Robert Mugabe, Grace Mugabe, kurejesha Shahada yake ya Uzamivu (PhD).
9 years ago
BBCSwahili05 Jan
Mbunge ashtakiwa kumtusi mke wa Mugabe
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete apewa Tuzo Ya Uongozi Bora nchini

Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo niBodi ya Taifa ya wahasibu na...
11 years ago
Bongo527 Sep
PhD ya miezi miwili aliyopewa mke wa Mugabe yawakasirisha wanachuo
5 years ago
BBCSwahili18 Feb
Moi na Mugabe: Sifa za uongozi zilizowachwa na kizazi cha Afrika kinachotoweka