Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moi na Mugabe: Sifa za uongozi zilizowachwa na kizazi cha Afrika kinachotoweka

Marais wa zamani wa Kenya na Zimbabwe walikuwa wakifanana kwa historia walioweka na tabia zao za uongozi , kulingana na Brian Hungwe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Mugabe and Moi: The legacy of a dying African generation

The ex-presidents of Zimbabwe and Kenya shared a history and some leadership traits, writes Brian Hungwe.

 

5 years ago

CCM Blog

WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA

  Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema kuwa uongozi imara wa nchi ni moja kati ya sababu za Afrika kupata kiwango kidogo cha maambukizi ya virusi vipya vya corona (covid-19), tofauti na ilivyotarajiwa.

Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.

Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mke wa Mugabe apewa uongozi ZANU-PF

Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe

Mke wa Rais wa Zimbabwe, Grace Mugabe

HARARE, ZIMBABWE

MKE wa Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, Grace Mugabe, ameteuliwa kuwa kiongozi wa kitengo cha wanawake ndani ya chama tawala cha ZANU-PF.

Grace (49) atakabidhiwa rasmi wadhifa wa kuongoza kitengo hicho katika kongamano la kitaifa la chama hicho ambalo linatarajiwa kufanyika Desemba.

Kwa mujibu wa BBC, cheo hicho kitamruhusu kushiriki mikutano ya Kamati Kuu ya ZANU-PF ambayo kimsingi ndiyo yenye shinikizo kubwa la uendeshaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujana ni mapito, si sifa ya uongozi

SIKUBALIANI na wanasiasa vijana wanaoendekeza siasa za kutukuza ujana na kubeza “uzee” kama njia ya kujipatia uongozi. Sikubaliani nao wanaposimama majukwaani kuhamasisha vijana wenzao kuwa huu ni wakati wao kuchukua...

 

11 years ago

Mwananchi

Polepole: Anayezuia mijadala amepoteza sifa za uongozi

Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole amesema makongamano na mijadala inayohusu Katiba mpya yataendelea kwa sababu ni ya lazima pia ni haki ya kikatiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye sifa wachangamkie nafasi za uongozi Simba 

KLABU ya Simba ipo katika mchakato wa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, aliyeingia madarakani Mei 9, 2010....

 

10 years ago

Habarileo

Mdee ataka nafasi za uongozi kwa sifa sio rushwa ya ngono

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amewahimiza wasichana kuhakikisha wanapata nafasi za uongozi kwa sifa na si kwa kutoa rushwa ya ngono ili kulinda heshima na uadilifu wa wanawake katika utumishi wa umma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Mugabe ziarani Afrika Kusini

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe anatarajiwa kufanya ziara nchini Afrika Kusini baada ya zaidi ya miaka ishirini kupita

 

5 years ago

BBCSwahili

Bongekile Msibi mwanamke wa Afrika Kusini alifungwa kizazi kwa lazima

Bongekile Msibi ni mmoja wa wanawake 48 waliolazimishwa kufungwa kizazi katika hosptali za taifa nchini Afrika Kusini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani