WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA

Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema kuwa uongozi imara wa nchi ni moja kati ya sababu za Afrika kupata kiwango kidogo cha maambukizi ya virusi vipya vya corona (covid-19), tofauti na ilivyotarajiwa.
Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.
Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Virusi vya Corona: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
5 years ago
MichuziTUMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA - UMMY
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Je unaweza kupata maambukizi mara mbili?
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daktari Li Wenliang apoteza maisha baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Uongozi mbaya wa shule chanzo cha ugonjwa wa watoto kupagawa
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Virusi vya corona: WHO yasema maambukizi 'yanaongezeka' Afrika
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Kwanini maambukizi ya corona yamepungua ghafla Afrika Kusini?
10 years ago
StarTV07 Oct
Uongozi DP waitaka Serikali kufuatilia kwa makini chanzo kifo cha mtikila
Chama cha Democratic DP kimeiomba Serikali na vyombo vya dola kufuatilia kwa kina chanzo cha kifo cha mwenyekiti wa chama hicho Mchungaji Christopher Mtikila kufuatia kuibuka utata wa kifo hicho kilichotokea kwa ajali ya gari Octoba NNE mwaka huu
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema wameshangazawa na kushtushwa na ajali hiyo na wanafikiri ni ajali ya kupangwa
Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema Mchungaji Mtikila...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI: TANZANIA IMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA, ITABIDI TUFANYE TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA KWA KUVAA MASKI