Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA

  Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema kuwa uongozi imara wa nchi ni moja kati ya sababu za Afrika kupata kiwango kidogo cha maambukizi ya virusi vipya vya corona (covid-19), tofauti na ilivyotarajiwa.

Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.

Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Algeria yathibitisha kupata maambukizi

Waziri wa Afya nchini Algeria imethibitisha kwamba nchi hiyo imepokea kisa cha kwanza cha Corona

 

5 years ago

Michuzi

TUMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA - UMMY

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema Tanzania imeanza kupata maambukizi ya Virusi vya Corona ya ndani kuanzia maambukizi yaliyopatikana tarehe 08/04/2020. Amesema kuwa tahadhari kubwa inahitajika katika kuhakikisha kuzuia kuendelea kwa maambukizi ya kijamii itasababisha kuongezekana kwa kasi ya maambukizi katika jamii. Ameyazungumza hayo leo jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano na viongozi wakuu wa madhehebu ya dini katika kujadiliana namna ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je unaweza kupata maambukizi mara mbili?

Je unaweza kupata maambukizi ya virusi vya corona kwa mara ya pili? Kwanini wengine wanaugua zaidi kuliko wengine? Je ugonjwa huu utakuwa unarejea kila msimu wa baridi? Chanjo itafanya kazi? Unawezaje kukabiliana na virusi kwa kipindi cha muda mrefu?

 

5 years ago

BBCSwahili

Daktari Li Wenliang apoteza maisha baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona

Li Wenliang aliwatahadharisha madaktari wenzake mwezi Desemba, lakini polisi walimwambia aache kusambaza habari za ''uzushi''

 

11 years ago

Mwananchi

Uongozi mbaya wa shule chanzo cha ugonjwa wa watoto kupagawa

>Mara nyingi tumekuwa tukishuhudia wasichana wengi hasa wakiwa shuleni wakipata matatizo ya kuweweseka, kupiga kelele na kuchanganyikiwa kiasi cha kushindwa kuendelea na masomo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: WHO yasema maambukizi 'yanaongezeka' Afrika

Janga la virusi vya corona linazidi kushika kasi Afrika, Shirika la Afya duniani (WHO) limesema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini maambukizi ya corona yamepungua ghafla Afrika Kusini?

Nadharia moja ni kwamba raia wa Afrika Kusini wanakinga dhidi ya virusi hivyo.

 

10 years ago

StarTV

Uongozi DP waitaka Serikali kufuatilia kwa makini chanzo kifo cha mtikila

Chama cha Democratic DP kimeiomba Serikali na vyombo vya dola kufuatilia kwa kina chanzo cha kifo cha mwenyekiti wa chama hicho Mchungaji Christopher Mtikila kufuatia kuibuka utata wa kifo hicho kilichotokea kwa ajali ya gari Octoba NNE mwaka huu

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwa marehemu Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema wameshangazawa na kushtushwa na ajali hiyo na wanafikiri ni ajali ya kupangwa

Naibu Katibu Mkuu wa DP, Abdul Mluya amesema Mchungaji Mtikila...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI: TANZANIA IMEANZA KUPATA MAAMBUKIZI YA NDANI YA VIRUSI VYA CORONA, ITABIDI TUFANYE TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA KWA KUVAA MASKI

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na viongozi wa diniNa Mwandishi Wetu WAMJW, Dar es SalaamWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema Tanzania imeanza kupata maambukizi ya Virusi vya Corona ya ndani kuanzia maambukizi yaliyopatika tarehe 08/04/2020.Amesema kuwa tahadhari kubwa inahitajika katika kuhakikisha kuzuia kuendelea kwa maambukizi ya kijamii itasababisha kuongezekana kwa kasi ya maambukizi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani