Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polepole: Anayezuia mijadala amepoteza sifa za uongozi

Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Humphrey Polepole amesema makongamano na mijadala inayohusu Katiba mpya yataendelea kwa sababu ni ya lazima pia ni haki ya kikatiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ujana ni mapito, si sifa ya uongozi

SIKUBALIANI na wanasiasa vijana wanaoendekeza siasa za kutukuza ujana na kubeza “uzee” kama njia ya kujipatia uongozi. Sikubaliani nao wanaposimama majukwaani kuhamasisha vijana wenzao kuwa huu ni wakati wao kuchukua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye sifa wachangamkie nafasi za uongozi Simba 

KLABU ya Simba ipo katika mchakato wa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, aliyeingia madarakani Mei 9, 2010....

 

10 years ago

Habarileo

Mdee ataka nafasi za uongozi kwa sifa sio rushwa ya ngono

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amewahimiza wasichana kuhakikisha wanapata nafasi za uongozi kwa sifa na si kwa kutoa rushwa ya ngono ili kulinda heshima na uadilifu wa wanawake katika utumishi wa umma.

 

5 years ago

BBCSwahili

Moi na Mugabe: Sifa za uongozi zilizowachwa na kizazi cha Afrika kinachotoweka

Marais wa zamani wa Kenya na Zimbabwe walikuwa wakifanana kwa historia walioweka na tabia zao za uongozi , kulingana na Brian Hungwe.

 

9 years ago

Dewji Blog

Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal

robert-pires_3068381k

Robert Pires.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.

Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.

“Namjua Wanyama, ni balozi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyekataa tiba akisema amepoteza mng’ao afariki

Mwanamke aliyekataa matibabu ya figo kuokoa maisha yake nchini Uingereza, akisema ameshapoteza mng’ao, amefariki.

 

9 years ago

Mwananchi

Sumaye asema Dk Magufuli amepoteza dira, anadandia

Siku moja baada ya Dk John Magufuli kupachika jina lake kwenye operesheni ya Chadema ya M4C, Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye amemuelezea mgombea huyo urais wa CCM kuwa ni mtu anayedandia hoja baada ya kupoteza dira.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Mama Yangu Amepoteza Uwezo wa Kuona Kwa 75%!

Staa wa Bongo movies, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%).

Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.

“Kumnusuru mama yangu asipate upofu wa moja kwa moja inabidi afanyiwe operesheni ya macho,” alisema Wema kwa huzuni kwa kuwa...

 

10 years ago

GPL

WEMA: MAMA’NGU AMEPOTEZA UWEZO WA KUONA KWA 75%!

Mwandishi Wetu Pole sana mama! Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu anasumbuliwa na macho ambapo madaktari wamegundua kwamba amepoteza uwezo wa kuona kwa asilimia sabini na tano (75%). Kwa mujibu wa Wema, aliamua kumpeleka mzazi wake huyo hospitalini (hakuitaja) ndipo alipohakikishiwa tatizo hilo ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani