Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdee ataka nafasi za uongozi kwa sifa sio rushwa ya ngono

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amewahimiza wasichana kuhakikisha wanapata nafasi za uongozi kwa sifa na si kwa kutoa rushwa ya ngono ili kulinda heshima na uadilifu wa wanawake katika utumishi wa umma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye sifa wachangamkie nafasi za uongozi Simba 

KLABU ya Simba ipo katika mchakato wa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, aliyeingia madarakani Mei 9, 2010....

 

10 years ago

GPL

SANDRA: SIJAWAHI KUTOA RUSHWA YA NGONO KWA ‘DAIREKTA’

Na Imelda Mtema
MSANII wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ amefunguka kuwa tangu ameanza kujihusisha na mambo ya sanaa hajawahi kuwa na bwana ndani ya klabu ya Bongo Movies na wala hajawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ kama ilivyo kwa wengine. Msanii wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’. Akizungumza na mwandishi wa...

 

11 years ago

GPL

ANKO LUNDENGA: HAKUNA MISS TANZANIA ANAYESHINDA KWA KUTOA RUSHWA YA NGONO

MWASISI na muandaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga, ‘Uncle Lundenga,’ amefunguka kuwa wanaoshinda Umiss Tanzania hawashindi kwa rushwa ya ngono. Lundenga (58) Mkurugenzi wa Rhino International Agency ambao ni waandaaji wa mashindano ya urembo Tanzania ni mmoja wa wadau muhimu sana katika tasnia ya urembo, alianza kujihusisha na kuendesha mashindano hayo ya Miss Tanzania mwaka 1994 ambapo ndipo shindano la...

 

10 years ago

Vijimambo

Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

Kumekuwa na tabia ya wanawake kutoa rushwa ya ngono makazini Kwa Research yangu Ndogo nimegunduaAsilimia 60 ya wanawake wanaopata hivyo vitu makazini ni kwa kutoa rushwa ya ngono30 ni kwa ajili wao wana watu wanaowajua10 wao wameingia kwa njia ya kawaidaHii imetokea sana hata humu ndani wapo wahanga mbalimbali ya wanawake mbalimbali walioingia kwenye hii disaster kwa pande zote mbiliWanaume nameWanawakeNilichogundua kuwa hii kitu haiepukiki kwani kwa mfumo wa maisha ulivyo tight halafu...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda: Kataeni wanaotaka uongozi kwa kutoa rushwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, ameonya Watanzania kuwa makini na watu wanaotumia rushwa, ili kupata nafasi za uongozi na hasa kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo

>Ni jambo la kusikitisha lakini ndiyo ukweli kwamba kuna baadhi ya wenye mamlaka katika shule wanatumia madaraka yao kujipatia ngono kutoka kwa wanafunzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo-2

>Hali kwa ujumla ni mbaya hasa katika baadhi ya vyuo. Rushwa ya ngono iko juu mno kiasi cha kukatisha tamaa. Mwalimu akimtaka mwanafunzi na akakataa, basi mwanafunzi huyo ajue kwamba ataambulia kufelishwa katika mitihani yake.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AWASIHI WATANZANIA KUTOCHAGUA VIONGOZI WANAOSAKA UONGOZI KWA KUTOA RUSHWA

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa, Bernard Membe akimkabidhi Bi. Shamim Khan tuzo ya heshima ya kujishughulisha na kazi za kijamii hapa Tanzania,katika tamasha la kwanza la Qaswida
lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa na kudhaminiwa na Kampuni ya Dira ya Mtanzania. PICHA NA MICHUZI JR.PICHA ZAIDI BOFYA HAPAWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akipokea tuzo maalumu kutoka kwa Sheikh Ismail Mohamed wakati wa tamasha...

 

10 years ago

GPL

RUSHWA YA NGONO YAMNASA KANJIBAI

Stori:  richard Bukos na Issa Mnally/Ijumaa
Hii ni tuhuma nzito! Katika hali inayoonesha maadili Bongo yanagaragazwa kwa kiwango cha kutisha, mapema wiki hii jamaa mmoja mfanyabiashara mwenye asili ya Kihindi almaarufu Kanjibai au Ponjoro, alinaswa kitandani akiwa mtupu na mwanamke aitwaye Hidaya ambaye ni mke wa mtu, akidaiwa kudai rushwa ya ngono ili ampe ajira. Kanjibai akiwa mpole baada ya kufumaniwa. OFM YATONYWA
...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani