Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo-2

>Hali kwa ujumla ni mbaya hasa katika baadhi ya vyuo. Rushwa ya ngono iko juu mno kiasi cha kukatisha tamaa. Mwalimu akimtaka mwanafunzi na akakataa, basi mwanafunzi huyo ajue kwamba ataambulia kufelishwa katika mitihani yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo

>Ni jambo la kusikitisha lakini ndiyo ukweli kwamba kuna baadhi ya wenye mamlaka katika shule wanatumia madaraka yao kujipatia ngono kutoka kwa wanafunzi.

 

10 years ago

Habarileo

Mdee ataka nafasi za uongozi kwa sifa sio rushwa ya ngono

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) amewahimiza wasichana kuhakikisha wanapata nafasi za uongozi kwa sifa na si kwa kutoa rushwa ya ngono ili kulinda heshima na uadilifu wa wanawake katika utumishi wa umma.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi wanaojihusisha katika biashara ya ngono kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu

Idadi inayoongezeka ya wanafunzi huuza picha za utupu na mengineyo katika mitandao ili kugharamia maisha yao katika vyuo vikuu, utafiti umebaini.

 

9 years ago

Habarileo

Sifa za ziada za Spika mpya

BAADA ya kupatikana kwa Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli, anayetarajiwa kuapishwa Alhamisi ijayo, macho na masikio ya Watanzania, sasa yanaelekezwa kwa kiongozi wa mhimili wa Bunge, Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

Lady Jaydee ataja sifa za mpenzi mpya

Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.ILIKUWA ni wiki la kipekee kwa mwanamuziki Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ baada ya kukubali kujibu maswali ya mashabiki wake katika matandao wa Instagram, ambapo jana alifunguka kuhusu mpenzi anayemuhitaji kwa sasa.
Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.“Anayejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma...

 

5 years ago

Michuzi

Infinix S5PRO KUTUA NA SIFA MPYA BONGO

Eti Infinix S5pro kuja na sifa tofauti? Kuna madai kwamba Infinix S5pro imechelewa kufika katika soko la Bongo chanzo kikijulikana kama janga la CORONA, na katika kuleta sawa bana ya wateja wa Infinix, Kampuni ya simu ya Infinix imeona si vyema endapo wadau wa Infinix Bongo kupokea Infinix S5pro yenye sifa sawa na zilizopo sokoni kwa sasa nchini India na Pakistani.
Lakini vile vile chanzo chetu kimesema vionjo vilivyofanyiwa kazi kwenye Infinix S5pro vimetokana na comment za wateja kupitia...

 

11 years ago

Habarileo

Kozi mbili mpya zaanzishwa vyuo vya ualimu

SERIKALI imeanzisha kozi mbili mpya katika vyuo vya ualimu, ikiwemo kozi ya stashahada itakayowawezesha walimu wa shule za msingi kujiendeleza hatua kwa hatua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani