Sifa za ziada za Spika mpya
BAADA ya kupatikana kwa Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli, anayetarajiwa kuapishwa Alhamisi ijayo, macho na masikio ya Watanzania, sasa yanaelekezwa kwa kiongozi wa mhimili wa Bunge, Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Mar
Sifa za ziada za Padri feki
SIRI ya mafanikio ya Padri feki, Josephat Asenga, aliyekamatwa mkoani Morogoro, katika kuongoza Misa ya Kanisa Katoliki kwa kufuata taratibu zote maalumu bila kutiliwa shaka, imebainika.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Rgh1NJzj8CY/VifqajpCbzI/AAAAAAAIBjU/d9Q4PR8gjhc/s72-c/1.jpg)
ZANTEL YAZINDUA OFA MPYA YA MUDA WA ZIADA KWA WATEJA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rgh1NJzj8CY/VifqajpCbzI/AAAAAAAIBjU/d9Q4PR8gjhc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q2KRoEyqomI/Vifqa6zeJ-I/AAAAAAAIBjc/duReSgBst2o/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ShB8hhoKY9Q/VifqepwkkwI/AAAAAAAIBjs/rbmV3ymB81U/s640/4.jpg)
KAMPUNI ya simu ya Zantel leo...
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.
Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...
9 years ago
MichuziKANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA ZIADA ZA MWAKA 2015 ZA SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA YA MWAKA 2010
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA...
9 years ago
Habarileo02 Nov
Mchakato wa Spika mpya
MCHAKATO rasmi wa kumpata Spika mpya wa Bunge, atakayerithi mikoba ya Spika Anne Makinda, umeanza baada ya vyama vya siasa kuagizwa kuanza maandalizi ya kupata mgombea kutoka vyama hivyo haraka.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo-2
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--p6o1nQOgwM/XowcK5QeI4I/AAAAAAALmVk/G7LKbAaWWD4qccwLi9RBHrNMtSXwrr5hwCLcBGAsYHQ/s72-c/Teaser-1.jpg)
Infinix S5PRO KUTUA NA SIFA MPYA BONGO
![](https://1.bp.blogspot.com/--p6o1nQOgwM/XowcK5QeI4I/AAAAAAALmVk/G7LKbAaWWD4qccwLi9RBHrNMtSXwrr5hwCLcBGAsYHQ/s320/Teaser-1.jpg)
Lakini vile vile chanzo chetu kimesema vionjo vilivyofanyiwa kazi kwenye Infinix S5pro vimetokana na comment za wateja kupitia...