Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sifa za ziada za Spika mpya

BAADA ya kupatikana kwa Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli, anayetarajiwa kuapishwa Alhamisi ijayo, macho na masikio ya Watanzania, sasa yanaelekezwa kwa kiongozi wa mhimili wa Bunge, Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sifa za ziada za Padri feki

Leonard PaulSIRI ya mafanikio ya Padri feki, Josephat Asenga, aliyekamatwa mkoani Morogoro, katika kuongoza Misa ya Kanisa Katoliki kwa kufuata taratibu zote maalumu bila kutiliwa shaka, imebainika.

 

9 years ago

Michuzi

ZANTEL YAZINDUA OFA MPYA YA MUDA WA ZIADA KWA WATEJA WAKE

 Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose akizungumza wakati wa kuzindua ofa mpya ya Kula Tano kwa wateja wa Zantel, ambayo inawazawadia wateja wao dakika za bure kwa kupokea simu zao.  Meneja wa Zantel, Deus Mtena akizungumza wakati wa uzinduzi wa ofa ya Kula Tano katika ofisi za Zantel, Anayetazama kushoto ni Meneja wa Huduma, Ashish Singh. Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose akigawa vipeperushi vya ofa ya Kula Tano baada ya kuizindua katika ofisi za Zantel.
KAMPUNI ya simu ya Zantel leo...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

CCM

Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika. 

Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-

Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali kuyabana zaidi makampuni ya simu nchini, kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015!!

DSC_0072

Ofisa Habari Mwandamizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prisca Ulomi, akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na Maktaba)

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[TANZANIA] Kasi ya serikali ya awamu ya tano inaonekana kuwa kubwa kwa kuanza kuyabana makampuni ya simu kwa huduma wanazotoa kwa watumiaji wa mitandao hiyo kwa kutumia kanuni mpya za huduma za ziada za mwaka 2015 za sheria ya mawasiliano ya kieletroniki na Posta ya mwaka 2010.

Akizungumzia kanuni hiyo, Msemaji wa...

 

9 years ago

Michuzi

KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA ZIADA ZA MWAKA 2015 ZA SHERIA YA MAWASILIANO YA KIELEKTRONIKI NA POSTA YA MWAKA 2010

 Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Sayansi na TekinolojiaPriska Olomi (kushoto) , akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam leo, kuhusu kutungwa kwa kanuni za huduma za ziada kwa makampuni ya simu nchini zitakazo walinda watumiaji wa huduma hizo,kulia ni Mkuu wa kitengo cha Sheria wa Wizara hiyo,Veronika Sudayi. (Picha na Hassan Silayo).
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KANUNI MPYA ZA HUDUMA ZA...

 

9 years ago

Habarileo

Mchakato wa Spika mpya

MCHAKATO rasmi wa kumpata Spika mpya wa Bunge, atakayerithi mikoba ya Spika Anne Makinda, umeanza baada ya vyama vya siasa kuagizwa kuanza maandalizi ya kupata mgombea kutoka vyama hivyo haraka.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo-2

>Hali kwa ujumla ni mbaya hasa katika baadhi ya vyuo. Rushwa ya ngono iko juu mno kiasi cha kukatisha tamaa. Mwalimu akimtaka mwanafunzi na akakataa, basi mwanafunzi huyo ajue kwamba ataambulia kufelishwa katika mitihani yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Ngono; sifa mpya inayotawala vyuo

>Ni jambo la kusikitisha lakini ndiyo ukweli kwamba kuna baadhi ya wenye mamlaka katika shule wanatumia madaraka yao kujipatia ngono kutoka kwa wanafunzi.

 

5 years ago

Michuzi

Infinix S5PRO KUTUA NA SIFA MPYA BONGO

Eti Infinix S5pro kuja na sifa tofauti? Kuna madai kwamba Infinix S5pro imechelewa kufika katika soko la Bongo chanzo kikijulikana kama janga la CORONA, na katika kuleta sawa bana ya wateja wa Infinix, Kampuni ya simu ya Infinix imeona si vyema endapo wadau wa Infinix Bongo kupokea Infinix S5pro yenye sifa sawa na zilizopo sokoni kwa sasa nchini India na Pakistani.
Lakini vile vile chanzo chetu kimesema vionjo vilivyofanyiwa kazi kwenye Infinix S5pro vimetokana na comment za wateja kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani