Mchakato wa Spika mpya
MCHAKATO rasmi wa kumpata Spika mpya wa Bunge, atakayerithi mikoba ya Spika Anne Makinda, umeanza baada ya vyama vya siasa kuagizwa kuanza maandalizi ya kupata mgombea kutoka vyama hivyo haraka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Mchakato kumngo’a Spika Eala waanza
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Agenda ya CUF mchakato wa Katiba Mpya
11 years ago
Habarileo30 Mar
EU yampongeza JK kwa mchakato wa Katiba mpya
NCHI wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kuanzisha na kusimamia vizuri mchakato wa kutunga Katiba mpya ambao unaendelea nchini.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
JK atakiwa kunusuru mchakato Katiba mpya
MCHUNGAJI wa Kanisa la PAG, Charles Kanyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kushirikiana na viongozi wastaafu kunusuru nchi katika kipindi hiki cha kuelekea kutunga Katiba mpya. Mchungaji Kanyika alisema Rais Kikwete...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjVe5aTmnYSwMYftgmGqRQHwyo*bnCDl6ox*zacjPaoVo2FAlD28xInnC8lakQHV9N0d8aIUxqO5LouvbKv0F5XD/sitta.jpg)
MCHAKATO WA KATIBA MPYA TUTARAJIE HASARA
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mchakato Katiba Mpya usiligawe Taifa
11 years ago
Habarileo02 May
JK, Mkapa, Shein waonya mchakato wa Katiba mpya
VIONGOZI wa kitaifa wameonya kuhusu muelekeo wa mchakato wa kupata Katiba mpya, kwamba usiachiwe kuvuruga amani, upendo na mshikamano wa kitaifa, huku Rais Jakaya Kikwete akihadharisha kuwa isipopatikana, Katiba hiyo, itatafutwa tena miaka ijayo.