EU yampongeza JK kwa mchakato wa Katiba mpya
NCHI wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kuanzisha na kusimamia vizuri mchakato wa kutunga Katiba mpya ambao unaendelea nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
>Wakati Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ukifikia hatua ya Kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa Aprili 30 mwaka huu, watu wameendelea kutoa maoni yao.
10 years ago
Mwananchi01 Mar
MCHAKATO KATIBA MPYA: Kwa nini muda wa BVR hautoshi kwa Kura ya Maoni
>Kazi ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kwa kutumia Mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR) imezunduliwa Februari 24 mwaka huu na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye pamoja na mambo mengine, ameweka wazi kuwa mtu atakayeshindwa kujiandikisha, atakosa fursa ya piga kura ya maoni kwa ajili ya Katiba mpya.
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi03 May
MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Katiba Mpya ilivyoligawa Taifa
>Wahenga walisema dalili ya mvua ni mawingi. Usemi huo umejidhihirisha kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba ambao tayari umeonyesha kuligawa taifa katika makundi matatu; Serikali, taasisi za dini na vyama vya siasa.
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
Mwakilishi kutoka Asasi ya Wanawake ya Ulingo, Dk. Avemaria Semakafu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mkutano na wahariri wa vyombo vya habari. Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA, Valerie Msoka taasisi moja wapo inayounda Mtandao wa Wanawake na Katiba akiwasilisha mada katika mkutano huo. Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakiwa kwenye mkutano na baadhi ya wajumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba. Mmoja...
11 years ago
MichuziLHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MWENENDO WA MCHAKATO WA UTUNGAJI WA KATIBA MPYA TANZANIA UNAOENDELEA DODOMA
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mchakato Katiba Mpya usiligawe Taifa
Mchakato wa Katiba Mpya unaoendelea nchini hauna dalili njema. Unatishia kusambaratisha Taifa na kuligawanya vipande vipande kiitikadi, kimakundi na kimasilahi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjVe5aTmnYSwMYftgmGqRQHwyo*bnCDl6ox*zacjPaoVo2FAlD28xInnC8lakQHV9N0d8aIUxqO5LouvbKv0F5XD/sitta.jpg)
MCHAKATO WA KATIBA MPYA TUTARAJIE HASARA
KWANZA kabisa nimuombe Mungu azidi kuipa neema na amani Tanzania yetu, lakini pia tumshukuru kwa kutuweka hai tukiwa na afya njema. Baada ya kusema hayo niseme kwamba nimeamua kuandika makala haya kutokana na kuona kwamba shinikizo la kutaka kusitishwa kwa Bunge Maalum la Katiba limezidi kuongezeka kutoka kada au taasisi mbalimbali hapa nchini. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mh. Samuel Sitta Mimi napendekeza… ...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Agenda ya CUF mchakato wa Katiba Mpya
Wakati viongozi wa CCM wakizunguka jimbo kwa jimbo kutetea Mfumo wa Muungano wa Serikali mbili, Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema hakiungi mkono hata pendekezo lililotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba la kutaka Muungano wa Serikali tatu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania