Mugabe ateuliwa kuwa mwenyekiti wa AU
Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka tisini, sasa ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa muungano wa Afrika-AU.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Dk. Hussein ateuliwa kuwa mwenyekiti wa muda wa Bodi ya Wakurugenzi ya NBC
![](http://2.bp.blogspot.com/-m3vLD-cK5Og/VMD-oEUNJ0I/AAAAAAAG-7A/wbY7sjrD7hg/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Hatua hiyo imetokana na kuteuliwa kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya benki hiyo, Profesa Mussa Assad, kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Muda wa NBC, Bwana Pius Tibazarwa alisema Dk Hussein atashika wadhifa wa uenyekiti wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b4G2aC-a-dg/UwxamSy1P4I/AAAAAAAFPak/915helkOex8/s72-c/TANZANIAONE1.jpg)
Balozi Ami Mpungwe ateuliwa kuwa mwenyekiti wa (Chemba ya Madini na Nishati Tanzania)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b4G2aC-a-dg/UwxamSy1P4I/AAAAAAAFPak/915helkOex8/s1600/TANZANIAONE1.jpg)
Pamoja na kuwa Balozi mstaafu na kiongozi mzoefu wa sekta ya madini, Balozi Mpungwe, yupo katika nafasi nzuri ya kuiongoza Chemba kukua kiuongozi katika nafasi yake kama kioo cha sekta ya madini na kuwa kiunganishi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J-mRcz3wzig/VjJOBlmX7dI/AAAAAAAIDYM/flGPUsS5EeU/s72-c/New%2BPicture.png)
NATU RASHID MSUYA ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WADHAMINI YA MFUKO WA RAIS WA KUJITEGEMEA (PTF).
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Natu Rashid Msuya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi, Oktoba 29, 2015 Ikulu, Dar es Salaam na Katibu Mkuu - Ikulu, Ndugu Peter Ilomo uteuzi huo ulianza Jumapili ya Oktoba 25 mwaka huu, 2015 na ni wa miaka mitatu.
Bibi...
![](http://3.bp.blogspot.com/-J-mRcz3wzig/VjJOBlmX7dI/AAAAAAAIDYM/flGPUsS5EeU/s1600/New%2BPicture.png)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi, Oktoba 29, 2015 Ikulu, Dar es Salaam na Katibu Mkuu - Ikulu, Ndugu Peter Ilomo uteuzi huo ulianza Jumapili ya Oktoba 25 mwaka huu, 2015 na ni wa miaka mitatu.
Bibi...
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Bi Mugabe ateuliwa kuongoza ZANU-PF
Bi Grace Mugabe ameteuliwa kuongoza kitengo cha wanawake katika ZANU-PF
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mugabe ateuliwa tena kuongoza Zanu-PF
Rais Robert Mugabe ameteuliwa tena kuongoza chama tawala nchini Zimbabwe na mke wake Grace akapewa wadhifa wa juu katika chama
10 years ago
Vijimambo04 Apr
JK ateuliwa Mwenyekiti jopo la majanga ya afya duniani
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/ban-ki-moon-april4-2015.jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amemteua Rais Jakaya Kikwete kuwa Mwenyekiti wa jopo la ngazi ya juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Afya (High - Level Panel on Global Responses to Health Crises).
"Ni majukumu makubwa na yenye changamoto nyingi lakini dunia inahitaji tuwe na mikakati katika masuala haya ambayo ni muhimu kwa maisha ya binadamu, hivyo hatuna budi kufanya kazi hii kama mchango wetu kwa ajili ya maisha ya...
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Balozi Maajar ateuliwa Mwenyekiti bodi ya BOA
BALOZI Mwanaidi Sinare Maajar ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Benki ya Afrika (BOA) na kuidhinishwa na Benki Kuu ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Balozi Maajar alikuwa mjumbe wa Bodi...
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Mugabe Mwenyekiti mpya wa AU
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa umoja wa Afrika Au kwenye mkutano unaoendelea mjini Addis Ababa Ethiopia
10 years ago
Habarileo31 Jan
Mugabe Mwenyekiti mpya AU, aeleza changamoto
VIONGOZI wa Mataifa ya Afrika jana wamemchagua Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania