Balozi Ami Mpungwe ateuliwa kuwa mwenyekiti wa (Chemba ya Madini na Nishati Tanzania)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b4G2aC-a-dg/UwxamSy1P4I/AAAAAAAFPak/915helkOex8/s72-c/TANZANIAONE1.jpg)
Chemba ya Madini na Nishati Tanzania (TCME) imemteua Balozi mstaafu, Bwana Ami Mpungwe kuwa mwenyekiti wake. Uteuzi huu wa Bwana Mpungwe kwa mara nyingine, unalenga kujizatiti kikamilifu kwa kuwaleta pamoja washikadau na umma kushirikiana katika masuala ya sekta ya madini.
Pamoja na kuwa Balozi mstaafu na kiongozi mzoefu wa sekta ya madini, Balozi Mpungwe, yupo katika nafasi nzuri ya kuiongoza Chemba kukua kiuongozi katika nafasi yake kama kioo cha sekta ya madini na kuwa kiunganishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s72-c/download.jpg)
Balozi Rajabu Hassan Gamaha ateuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZbZaTexdaRo/VT6Uijd1IUI/AAAAAAAHTs0/7BIkAx09Tko/s1600/download.jpg)
Balozi Gamaha anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Mwasi Nzagi ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huo Balozi Gamaha alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Uteuzi huo unaanza mara moja.
Imetolewa na:Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dar es Salaam
27 Aprili 2015
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TyEGQwC1Gr4/U_Mxos3VtcI/AAAAAAAGAuo/NSAe-ZAafBs/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ud2VexquSjc/U_MxpFnC-PI/AAAAAAAGAus/bae1d8bravo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Bongo510 Oct
Mrisho Mpoto ateuliwa kuwa balozi wa tuzo za Kora Tanzania
9 years ago
Vijimambo08 Sep
Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.8020fashionsblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F09%2Fflavy-650x432.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za wizara hiyo
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.8020fashionsblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F09%2FFlaviana-matata.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia kazi zake za nchini Marekani Flaviana Matata amechagulia na Wizara ya Maliasili kuwa Balozi wa Hiyari 'Good Will Ambassador' kwa kipindi cha miaka mitatu kwa dhumuni la kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania ndani na nje ya nchi.
Flaviana ambaye juzi alikuwa mmoja kati ya shuhuda wa kushuhudia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8YvkhgWXPhU/U_z1GgeAOII/AAAAAAAGClY/ufZZ2RA74OQ/s72-c/New%2BPicture.bmp)
9 years ago
Michuzi08 Sep
Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania nchini marekani
![flavy](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/09/flavy-650x432.jpg)
10 years ago
MichuziJack Mugendi Zoka ateuliwa kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Canada.
Bw. Zoka anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Alex Masinda, ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Zoka alikuwa Ofisa Mwandamizi Ofisi ya Rais Ikulu.
IMETOLEWA NAKATIBU MKUUWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFADar es Salaam,Septemba 30, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a8A_vZbflWk/VNOUWnYgUsI/AAAAAAAHCDE/T2NyGN7DtFI/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Mugabe ateuliwa kuwa mwenyekiti wa AU
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10