Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mugabe Mwenyekiti mpya wa AU

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa umoja wa Afrika Au kwenye mkutano unaoendelea mjini Addis Ababa Ethiopia

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mugabe Mwenyekiti mpya AU, aeleza changamoto

Rais Robert Mugabe wa ZimbabweVIONGOZI wa Mataifa ya Afrika jana wamemchagua Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU).

 

10 years ago

BBCSwahili

Mugabe ateuliwa kuwa mwenyekiti wa AU

Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka tisini, sasa ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa muungano wa Afrika-AU.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mugabe amteua makamu mpya wa Rais

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amemeteua makamu mpya wa Rais Emmerson Mnangagwa dalili kwamba huyo ndiye Mugabe anampendekeza kumrithi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mugabe atarajiwa kutaja makamo mpya

Siku ya mwisho ya mkutano mkuu wa chama tawala yatarajiwa kuwa siku ya kutangaza makamo wa rais mpya wa Zimbabwe

 

10 years ago

Michuzi

HONGERA MWENYEKITI MPYA

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa,Mh. Mboni Mhita (kushoto) akimpongeza Mwenyekiti Mpya wa Serikali ya Mtaa wa Masaki,Kinondoni Jijini Dar es Salaam,Ndg. Kimweri Mhita wakati wa hafla fupi ya kumpongeza mara baada ya kuapishwa kwake,Kimweri ni mmoja wa Wenyeviti wapya waliochagulia katika Uchaguzi uliofanyika hivi karibuni nchini kote. Mwenyekiti Mpya wa Serikali ya Mtaa wa Masaki,Kinondoni Jijini Dar es Salaam,Ndg. Kimweri Mhita (katikati) akiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ng’imaryo Mwenyekiti mpya TAHA

TAASISI  ya Kilimo cha Maua na Mbogamboga nchini (TAHA) imemteua, Eric Ng’imaryo, kuwa mwenyekiti mpya. Ng’imaryo ameshika nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Colman Ngalo aliyeendesha taasisi hiyo kwa miaka 10....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Patrobas mwenyekiti mpya Bavicha

PATROBAS Paschal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, (Bavicha). Mwenyekiti huyo alichaguliwa katika uchaguzi uliyofanyika juzi usiku katika ukumbi wa Mlimani...

 

10 years ago

Mwananchi

Mususa Mwenyekiti mpya MCL

>Mhasibu mzoefu nchini, Leonard Mususa ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), akichukua nafasi ya Zuhura Muro.

 

10 years ago

Habarileo

Mdee Mwenyekiti mpya Bawacha

Halima MdeeMBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), baada ya kupata kura 165 kati ya kura 244 na kuwaacha wenzake mbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani