Ng’imaryo Mwenyekiti mpya TAHA
TAASISI ya Kilimo cha Maua na Mbogamboga nchini (TAHA) imemteua, Eric Ng’imaryo, kuwa mwenyekiti mpya. Ng’imaryo ameshika nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Colman Ngalo aliyeendesha taasisi hiyo kwa miaka 10....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XZ0ppNH5D3g/UvjbNSCIWYI/AAAAAAAFML4/CzRtoC028Co/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Eric Ng'imaryo mwenyekiti mpya Tanzania Horticultural Association (TAHA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XZ0ppNH5D3g/UvjbNSCIWYI/AAAAAAAFML4/CzRtoC028Co/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Mugabe Mwenyekiti mpya wa AU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BObf6MOmZug/VKxZHWm6h7I/AAAAAAAG7vk/O6wyldxfvLI/s72-c/IMG-20150106-WA0005.jpg)
HONGERA MWENYEKITI MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BObf6MOmZug/VKxZHWm6h7I/AAAAAAAG7vk/O6wyldxfvLI/s1600/IMG-20150106-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-srbQEzyn77Q/VKxZIMRZpJI/AAAAAAAG7vo/I2fdar8lfX0/s1600/IMG-20150106-WA0004.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Sep
Mdee Mwenyekiti mpya Bawacha
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), baada ya kupata kura 165 kati ya kura 244 na kuwaacha wenzake mbali.
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Dk Utaro mwenyekiti mpya JET
Mwenyekiti mteule wa Chama cha Waandishi wa Habari Mazingira Tanzania (JET), Dk.Elen Utaro akitoa shukrani zake kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa uchanguzi wa chama hicho kwa kumpatia kura za kutosha na amewataka wampe ushirikiano wa kutosha ili kukiendeleza mbele chama hicho.
Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari wa Mazingira Tanzania (JET), Aisha Dachi, akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari Mazingira ambapo alitangza hagombei tena nafasi hiyo kwa...
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Mususa Mwenyekiti mpya MCL
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Patrobas mwenyekiti mpya Bavicha
PATROBAS Paschal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, (Bavicha). Mwenyekiti huyo alichaguliwa katika uchaguzi uliyofanyika juzi usiku katika ukumbi wa Mlimani...
10 years ago
Habarileo31 Jan
Mugabe Mwenyekiti mpya AU, aeleza changamoto
VIONGOZI wa Mataifa ya Afrika jana wamemchagua Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU).