Eric Ng'imaryo mwenyekiti mpya Tanzania Horticultural Association (TAHA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XZ0ppNH5D3g/UvjbNSCIWYI/AAAAAAAFML4/CzRtoC028Co/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Mwenyekiti mpya wa TAHA, Bw. Eric Ng'imaryo, akizungumza mara baada ya kuchaguliwa kushika wadhifa huo.
Na Mwandishi Wetu TAASISI inayoshughulika na kilimo cha maua na mboga mboga nchini (Tanzania Horticultural Association -TAHA) imemteua Bw. Eric Ng'imaryo kama Mwenyekiti wake mpya kuchukua nafasi iliyoaachwa wazi na Bw. Colman Ngalo, ambaye ameiendesha taasisi hiyo kwa mafanikio kwa takribani miaka kumi ya utawala wake. Sambamba na uteuzi huo pia Bw. Ng'imaryo.
Pia taasisi hiyo...
Michuzi