Mwanamke achaguliwa kuongoza Nepal
Bunge nchini Nepal limemchagua mtetezi wa haki za wanawake Bidhya Devi Bhandari kuwa rais, na kumfanya kuwa mwanamke wa kwanza kabisa kuwa rais nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Dk Hoseah achaguliwa kuongoza mapambano ya rushwa A.Mashariki
Uchaguzi huo umefanyika leo Jijini Entebe – Uganda, katika Mkutano Mkuu wa nane wa shirikisho hilo ulioanza leo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V5duMxNGgOU/VYZnDYsGohI/AAAAAAAHiEg/22Sw8pgt6JA/s72-c/b1.jpg)
BALOZI NGIRWA ACHAGULIWA TENA KUONGOZA BARAZA LA FAO
Mkutano wa 39 wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) uliofanyika katika Makao Makuu ya Shirikia hilo jijini Roma hapo tarehe 6 -13 Juni, 2015 umemchagua tena Balozi Wilfred Joseph Ngirwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la FAO (Independent Chairperson of the FAO Council - ICC) kwa kipindi cha miaka miwili (2015-2017).
Katika Mkutano huo ambapo ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri (NW) wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhe. Godfrey Weston Zambi (Mb), Balozi Ngirwa alikuwa...
Katika Mkutano huo ambapo ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri (NW) wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhe. Godfrey Weston Zambi (Mb), Balozi Ngirwa alikuwa...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mwanamke wa kwanza achaguliwa Saudi Arabia
Raia wa Saudi Arabia wameweka historia kwa kumchagua mwanamke wa kwanza kuwa mwakilishi wao katika uchaguzi uliofanyika hapo jana.
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Imam Bahloul: Mwanamke aliyefufua mjadala wa wanawake kuongoza ibada misikitini
Jina la msomi wa masuala ya Kiislamu Imam Bahloul lilirejelewa mara kwa mara Ijumaa iliopita baada ya swala ya Ijumaa.
11 years ago
GPLTUZO YA MWANAMKE BORA, HESHIMA YA KWELI YA MWANAMKE, PINDA NI MSOMI WA UWAZI
Mgeni rasmi, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, akihutubia kabla ya kukabidhi tuzo. Na Luqman Maloto Mwanamke wa…
11 years ago
GPLMWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= MWANAMKE MWENZAKE ‘ATAITIWA’ DAR
Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake. Wengine wakitaka apigwe kama mwizi, wengine wakiomba asamehewe.…
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Helena Lucas achaguliwa- Uingereza
Helena Lucas amekuwa mchezaji wa kwanza kuchaguliwa katika timu ya mbio za meli nchini Uingereza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania