Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Helena Lucas achaguliwa- Uingereza

Helena Lucas amekuwa mchezaji wa kwanza kuchaguliwa katika timu ya mbio za meli nchini Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MHE. LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA MHE. ARNELL MILLS, MEYA WA MJI WA HELENA-WEST HELENA KUTOKA JIMBO LA ARKANSAS MAREKANI


Mhe. Meya Wills akipokelewa na Bw.Suleiman Saleh, Afisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Washington DC mara baada ya kuwasili Ubalozini hapo kwa mazungumzo na Mhe. Balozi Liberata Mulamula
Mhe. Liberata Mulamula,Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani akiwa katika mazungumzo na Mhe.Arnell Wills, Meya wa mji wa Helena-West Helena, Arkansas, Marekani,Ubalozini Tanzania House, Washington DC.

Mhe. Balozi Mulamula akimkabidhi Meya Wills zawadi maalum kutoka Ubalozini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu mwanamke achaguliwa Uingereza

Kanisa la Uingereza limemchagua askofu wa kwanza mwanamke.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rooney achaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza

ClickHandler.ashx

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United, Wayne Rooney (pichani) amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka 2015 wa Uingereza baada ya fanikiwa kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi katika timu ya taifa ya magoli 49 ambayo awali ilikuwa imewekwa na Sir Bobby Chalton na baade kuweka ya kwake ya magoli 50.

Rooney mwaka 2015 aliichezea Uingereza michezo 8 na kufanikiwa kuifungia magoli 5 ambayo yaliisaidia Uingereza kujihakikishia nafasi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Helena Costa kufunza wanaume

Helena Costa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa timu ya kulipwa ya wanaume nchini Ufaransa

 

13 years ago

BBC

10 years ago

Michuzi

In Loving Memory of the late Mr Lucas Zerubabel Mosha — (1938-2014)

In loving memory of our beloved husband, father and grandfather, Lucas Zerubabel Mosha, who passed away one year ago on 12thMay 2014 in Dar es Salaam and was laid to rest at his home village in Mwika, Moshi.

You continue to be in our hearts each and every day. You will be with us forever in our hearts and minds.  Your wife, children, grandchildren and family miss you.  We know the love you had for us all means that you are looking out for us.


May your soul rest in eternal peace

 

5 years ago

Mirror Online

Arsenal ignored advice from own recruitment chief to sign Shkodran Mustafi and Lucas Perez

Arsenal ignored advice from own recruitment chief to sign Shkodran Mustafi and Lucas Perez  Mirror OnlineArsenal signed these two stars against the recommendation of their scouting teams  Just Arsenal NewsArsenal overruled their head of recruitment to complete two transfers but it hasn't paid off  Football.LondonArsenal 'ignored head of recruitment' over two transfers including Shkodran Mustafi  Daily StarWhy Arsenal transfer bid for Barcelona hero Lionel Messi under Arsene Wenger...

 

9 years ago

StarTV

Watoto Denis na Esther Lucas walazwa Geita hospitali kwa Madai Ya Kuunguzwa Na Baba

Watoto wawili wa familia moja wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita wanaodaiwa kuunguzwa kwa moto na baba yao mzazi kwa tuhuma ya kuiba mboga kwa jirani wamefikishwa katika hospitali ya wilaya ya Geita kwa matibabu zaidi.

Kufikishwa hospitalini hapo kumekuja siku mbili baada ya wasamaria wema kugundua kuwa watoto hao wameunguzwa midomo, mikono na miguu na kisha kufichwa ndani kwa zaidi ya siku sita na baba yao mzazi Lucas Petro mwenye umri wa miaka 29.

Watoto waliounguzwa ni...

 

5 years ago

SciTechDaily

Human Populations Survived a Volcanic Super-Eruption 74,000 Years Ago – 5,000 Times Larger Than Mount St. Helen’s

Human Populations Survived a Volcanic Super-Eruption 74,000 Years Ago – 5,000 Times Larger Than Mount St. Helen’s  SciTechDailyView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani