Helena Costa kufunza wanaume
Helena Costa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa timu ya kulipwa ya wanaume nchini Ufaransa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi27 Aug
MHE. LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA MHE. ARNELL MILLS, MEYA WA MJI WA HELENA-WEST HELENA KUTOKA JIMBO LA ARKANSAS MAREKANI
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10625087_10152346818807479_1515226333222891814_n.jpg?oh=64308ad3833592428ccea305c347413f&oe=546C43DD&__gda__=1415738928_768e96f0585df4ee1670685235cc23b0)
Mhe. Meya Wills akipokelewa na Bw.Suleiman Saleh, Afisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Washington DC mara baada ya kuwasili Ubalozini hapo kwa mazungumzo na Mhe. Balozi Liberata Mulamula
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/10485513_10152346818812479_8827848353377217115_o.jpg)
Mhe. Liberata Mulamula,Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani akiwa katika mazungumzo na Mhe.Arnell Wills, Meya wa mji wa Helena-West Helena, Arkansas, Marekani,Ubalozini Tanzania House, Washington DC.
![](https://scontent-a-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/l/t31.0-8/10496926_10152346818817479_4810686442739465277_o.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/t31.0-8/1912114_10152346818802479_7164735362486305738_o.jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Helena Lucas achaguliwa- Uingereza
13 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/61633000/jpg/_61633822_bouteflika_afp.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Serikali yashauriwa kufunza ujasiriamali
ILI kuondoka na wimba la ukosefu wa ajiri kwa vijana, Serikali imeshauriwa kuingiza somo ya ujasiriamali katika mitaala yake katika ngazi za elimu ilitolewayo hapa nchini. Ushauri huo ulitolewa mwishoni...
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Kituo chaanza kufunza kinadada ufundi
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
FACEBOOK kutumika kufunza usalama barabarani
Naibu Kamishna wa Polisi na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (wa pili kushoto) akifurahi jambo na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa kuboresha Demokrasia na Amani (DEP) kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bi. Beatrice Stephano, Afisa Mfawidhi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kanda ya ziwa Mwanza, Bw....
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mazungumzo yafanywa kufunza kichina shuleni
VIJANA wote walio shuleni wameshauriwa kuanza kuchangamkia udhamini wa kujifunza lugha ya kichina ili kuwa na uwezo wa kufanya biashara na Jamhuri ya watu wa China.
11 years ago
Habarileo21 Dec
Waaswa kutumia mfumo mpya kufunza ujasiriamali
WAKUU wa vyuo vya ufundi vya serikali na binafsi nchini wametakiwa kutumia mfumo mpya wa ufundishaji wa somo la ujasiriamali ambao unafundisha kinadharia tofauti na ilivyokuwa hapo awali.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10