Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kituo chaanza kufunza kinadada ufundi

Chuo cha ufundi cha Don Bosco nchini Tanzania kilikuwa kimejikita katika kutoa mafunzo ya ufundi kwa vijana wa kiume pekee, lakini hivi karibuni kimeamua kutoa mafunzo hayo kwa kinadada.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

CRB, Veta waingia ubia kufunza ufundi sadifu

BODI ya Usajili wa Wakandarasi (CRB) imeingia ubia na Mamlaka ya Elimu ya Ufundi Stadi (VETA) kwa ajili ya kutoa mafunzo ya ufundi sadifu kwa sekta ya ujenzi.

 

10 years ago

GPL

KITUO KIPYA CHA DALADALA CHAANZA KAZI DAR

Abiria wakipanda daladala. Askari wa usalaama…

 

9 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA TUWAJALI FOUNDATION CHAANZA MWAKA KWA KUSAIDIA KITUO CHA SIFA KILICHOPO BUNJU B DAR

Baadhi ya wanakikundi cha Tuwajali Foundation wakiwa pamoja na watoto wa kituo cha Sifa wakati walipo watembelea na kutoa msaada.Baadhi ya vitu vimetolewa kwa kituo cha Sifa Foundation  Bi. Sifa (Kulia) ambaye ndiye mwanzilishi wa  kituo hicho cha Sifa Foundation akiwa anatoa shukurani kwa mmoja wa kiongozi wa Tuwajali Foundation Bw. Nurdin baada ya kupokea msaada wa vitu mbalimbali ikiwa ni pamoja na Unga, Mchele, Sabuni, Nguo na vitu vya kuchezea watoto. Baadhi ya wanakundi la Tuwajali...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania, Japan watiliana saini ujenzi wa kituo cha ufundi stadi Ileje

1

Signing the grant contract, witnessed by Hon. Janet Mbene, Deputy Minister of Industry and Trade, and Hon. Rosemary Senyamule, Ileje District Commissioner. Front line from the left: Mr. Mussa Otieno, District Executive Director, Mr. Simon Mwango’nda, Executire Director of the recipient organisation, Integrated Rural Development Organisation, Mr. Kazuyoshi Matsunaga, Chargé d’affaires of the Embassy of Japan.

Na Mwandishi wetu

MKATABA wa Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya ufundi stadi katika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Helena Costa kufunza wanaume

Helena Costa mwanamke wa kwanza kuwa kocha wa timu ya kulipwa ya wanaume nchini Ufaransa

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashauriwa kufunza ujasiriamali

ILI kuondoka na wimba la ukosefu wa ajiri kwa vijana, Serikali imeshauriwa kuingiza somo ya ujasiriamali katika mitaala yake katika ngazi za elimu ilitolewayo hapa nchini. Ushauri huo ulitolewa mwishoni...

 

10 years ago

Habarileo

Mazungumzo yafanywa kufunza kichina shuleni

VIJANA wote walio shuleni wameshauriwa kuanza kuchangamkia udhamini wa kujifunza lugha ya kichina ili kuwa na uwezo wa kufanya biashara na Jamhuri ya watu wa China.

 

10 years ago

Dewji Blog

FACEBOOK kutumika kufunza usalama barabarani

DSC_0135

Naibu Kamishna wa Polisi  na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la  Taifa la Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (wa pili kushoto) akifurahi jambo na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa kuboresha Demokrasia na Amani (DEP) kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bi. Beatrice Stephano, Afisa Mfawidhi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kanda ya ziwa Mwanza, Bw....

 

11 years ago

Mwananchi

Kikao chaanza na wabunge tisa tu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani juzi aliwasilisha makadirio ya matumizi ya fedha ya wizara hiyo kwa mwaka 2014/15, huku ukumbi wa Bunge ukiwa na wabunge 14 tu, wakiwemo mawaziri watano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani