Kituo chaanza kufunza kinadada ufundi
Chuo cha ufundi cha Don Bosco nchini Tanzania kilikuwa kimejikita katika kutoa mafunzo ya ufundi kwa vijana wa kiume pekee, lakini hivi karibuni kimeamua kutoa mafunzo hayo kwa kinadada.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Sep
CRB, Veta waingia ubia kufunza ufundi sadifu
BODI ya Usajili wa Wakandarasi (CRB) imeingia ubia na Mamlaka ya Elimu ya Ufundi Stadi (VETA) kwa ajili ya kutoa mafunzo ya ufundi sadifu kwa sekta ya ujenzi.
10 years ago
GPL9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s72-c/1.jpg)
KIKUNDI CHA TUWAJALI FOUNDATION CHAANZA MWAKA KWA KUSAIDIA KITUO CHA SIFA KILICHOPO BUNJU B DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/--QOE97MwvLU/Voov7Ned42I/AAAAAAAAeuI/iN8vYYwYLeA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JZiwE7Yhgd4/VopD_vrGtfI/AAAAAAAAeu4/fv4xShcehXs/s640/DzTyev0v.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qO4UQP6QCgU/VoowEh7rK-I/AAAAAAAAeuY/avfmFGSKGOA/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9p0EZOgC3Yk/VoowLgzzhjI/AAAAAAAAeuo/hjg3SHZcfLs/s640/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Tanzania, Japan watiliana saini ujenzi wa kituo cha ufundi stadi Ileje
Signing the grant contract, witnessed by Hon. Janet Mbene, Deputy Minister of Industry and Trade, and Hon. Rosemary Senyamule, Ileje District Commissioner. Front line from the left: Mr. Mussa Otieno, District Executive Director, Mr. Simon Mwango’nda, Executire Director of the recipient organisation, Integrated Rural Development Organisation, Mr. Kazuyoshi Matsunaga, Chargé d’affaires of the Embassy of Japan.
Na Mwandishi wetu
MKATABA wa Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya ufundi stadi katika...
11 years ago
BBCSwahili07 May
Helena Costa kufunza wanaume
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Serikali yashauriwa kufunza ujasiriamali
ILI kuondoka na wimba la ukosefu wa ajiri kwa vijana, Serikali imeshauriwa kuingiza somo ya ujasiriamali katika mitaala yake katika ngazi za elimu ilitolewayo hapa nchini. Ushauri huo ulitolewa mwishoni...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mazungumzo yafanywa kufunza kichina shuleni
VIJANA wote walio shuleni wameshauriwa kuanza kuchangamkia udhamini wa kujifunza lugha ya kichina ili kuwa na uwezo wa kufanya biashara na Jamhuri ya watu wa China.
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
FACEBOOK kutumika kufunza usalama barabarani
Naibu Kamishna wa Polisi na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani nchini ambaye pia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga (wa pili kushoto) akifurahi jambo na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini. Kushoto ni Mratibu wa Mradi wa kuboresha Demokrasia na Amani (DEP) kutoka ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bi. Beatrice Stephano, Afisa Mfawidhi Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kanda ya ziwa Mwanza, Bw....
11 years ago
Mwananchi11 May
Kikao chaanza na wabunge tisa tu