Waaswa kutumia mfumo mpya kufunza ujasiriamali
WAKUU wa vyuo vya ufundi vya serikali na binafsi nchini wametakiwa kutumia mfumo mpya wa ufundishaji wa somo la ujasiriamali ambao unafundisha kinadharia tofauti na ilivyokuwa hapo awali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Serikali yashauriwa kufunza ujasiriamali
ILI kuondoka na wimba la ukosefu wa ajiri kwa vijana, Serikali imeshauriwa kuingiza somo ya ujasiriamali katika mitaala yake katika ngazi za elimu ilitolewayo hapa nchini. Ushauri huo ulitolewa mwishoni...
9 years ago
Habarileo14 Oct
NEC kutumia mfumo mpya
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) inatarajia kutumia mfumo mpya wa kielektroniki katika kujumlisha matokeo ya kura kwa lengo la kuondoa makosa mbalimbali ya kibinadamu, yanayoweza kutokea kwa bahati mbaya wakati wa kujumlisha matokeo hayo katika uchaguzi mkuu.
10 years ago
MichuziWatanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s72-c/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
SELCOM YALETA MFUMO MPYA NA WA KISASA WA MALIPO YA TIKETI ZA TAMASHA LA “KILIFEST” KWA KUTUMIA “SELCOM CARD”
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K0r-oAycC4Q/Vf-bdG7RmlI/AAAAAAAAH30/QqiJyrbKGCc/s1600/Selcom%2BCard%2BTicketing%2BBlog%2B.jpg)
Kati ya mawakala wa Selcom zaidi ya 15,000 wanaopatikana nchi nzima ni mawakala 40 tu wameochaguliwa kuuza tiketi za KiliFest kwenye vituo vyao na wote hao wanapatikana Dar es salaam.
Baada...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Vijana waaswa kutumia michezo
VIJANA mkoani Arusha, wameshauriwa kutumia michezo kama sehemu muhimu ya kukuza uhusiano na vipaji walivyonavyo ili kujiepusha na mambo yanayoharibu sifa na haiba zao katika jamii. Ushauri huo umetolewa na...
9 years ago
StarTV20 Aug
Wagombea Songea waaswa kutumia kauli za kistaarabu
Wagombea wa Jimbo la Songea mkoani Ruvuma wametakiwa kuwa makini na kauli watakazozitoa katika kampeni za uchaguzi mkuu.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Songea Mjini Zacharia Nachoa amesema anategemea kuwa wagombea watatii na kufuata taratibu na kanuni kwa kujinadi kistaarabu bila kuleta chuki kama ilivyo historia ya Jimbo hilo.
Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Songea Mjini Zacharia Nachoa amesema , mpaka sasa vyama vilivyochukua fomu za Ubunge ni chama cha ACT Wazalendo na CCM, ambapo...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Wakulima nchini waaswa kutumia kilimo cha mseto
10 years ago
StarTV05 Jan
Viongozi waaswa kutumia maarifa, busara kuilinda Amani.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Viongozi nchini hawana budi kutumia maarifa na busara kuhakikisha wanalivusha salama Taifa mwaka 2015 hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu na maoni ya Katiba vinavyotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Kukosekana kwa umakini na busara kwa viongozi hao kunadaiwa kuwa kunaweza kulifikisha mahali pabaya Taifa.
Ni wakati wa kongamano maalum la kukumbusha wajibu wa kaya na familia na malezi bora kwa vijana lililofanyika katika kanisa la Waadventista Wasabato Chuwini...