Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi waaswa kutumia maarifa, busara kuilinda Amani.

Na Abdalla Pandu,

Zanzibar.

 

Viongozi nchini hawana budi kutumia maarifa na busara kuhakikisha wanalivusha salama Taifa mwaka 2015 hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu na maoni ya Katiba vinavyotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Kukosekana kwa umakini na busara kwa viongozi hao kunadaiwa kuwa kunaweza kulifikisha mahali pabaya Taifa.

Ni wakati wa kongamano maalum la kukumbusha wajibu wa kaya na familia na malezi bora kwa vijana lililofanyika katika kanisa la Waadventista Wasabato Chuwini...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMISHNA KOVA AWATAKA ASKARI WALIOMALIZA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO WA JESHI LA POLISI KUTUMIA UJUZI NA MAARIFA WALIYOYAPATA KUONDOA KERO NA KUDUMISHA AMANI KATIKA MITAA YOTE YA JIJI LA DAR

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Kipolisi ya Dar es Salaam,Kamishna Suleiman Kova akifurahi jambo wakati akizungumza na Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar,wakati alipowapokea leo Desemba 4,2014 katika Kituo cha Kati cha Polisi,Jijini Dar es Salaam.Sehemu ya Askari Polisi waliomaliza Mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi la Polisi katika vyuo vya Polisi vya Moshi na Zanzibar wakimsikiliza Kamanda wa Polisi Kanda...

 

9 years ago

StarTV

Viongozi wa Dini waaswa kutohubiri uchochezi Kuepuka Uvunjifu Wa Amani

Baadhi ya  viongozi  wa  Dini  nchini  wametakiwa  kuepuka  kutumia  nyumba za ibaada kuhubiri uchochezi  na kutoa  utabiri  wa mambo  yenye  maslahi  kwa Taifa  kwani   yanaweza  kuleta  madhara   makubwa  kwa jamii.

Kauli  hiyo  imetolewa  na Askofu  Mkuu  wa Muungano   wa makanisa  ya kipentecoste   Tanzania  (MMPT) Erasto Makala   katika  Ibaada   takatifu   ya  kumsimika   mchungaji  kiongozi  wa mission  ya  Nzega    Yeftha  Sang`udi   kwa makanisa  ya pentecoste  yaliyopo  kwenye  ...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania wahimizwa kuendelea kuilinda misingi ya amani na utulivu.

Muhubiri wa kimataifa dokta Egon Falk amesema amani iliyopo nchini Tanzania itaendelea kuwepo miaka mingi ijayo kutokana na misingi imara iliyowekwa.

Amesema misingi hiyo ni ile inayopiga vita ukabila na udini ambayo imewekwa na viongozi wazalendo wenye nia njema na taifa hili.

Katika maombi yake ya kuombea amani nchi ya Tanzania  aliyoyafamya katika kijiji cha Gitting wilayani Hanang mkoani Manyara, dkt Falk anasema  watanzania wana kila sababu ya kujivunia utulivu huo.

Aidha katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Jeshi la Polisi liendelee kuitetea, kuilinda amani ya Tanzania

Mwaka huu mpya wa 2015 Watanzania waishio jijini Dar es Salaam  wameuanza vibaya kwa kutikiswa na kikundi cha Panya Road. Wataalamu wanasema  mwanzo mbaya huashiria mwisho mbaya.  Januari Mosi ya kila mwaka duniani husherehekewa Siku ya Amani Dunia. Pia, amani hii ni ile inayotoka kwa Mungu.

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Mstaafu asisitiza haja ya kuilinda na kuiendeleza amani ilyopo nchini

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na waislamu mbali mbali wakati akiwasili “Masjid Imani” iliyoko Mbweni kwa ajili ya kufutari.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume, wakisalimiana na waislamu mbali mbali katika “Masjid Imani” iliyoko Mbweni walipofika kwa ajili ya kufutari.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na Rais Mstaafu wa Zanzibar...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

BBCSwahili

Ni busara kutumia fedha nyingi kwa sikukuu?

Watu wengi huwa hawajapangia matumizi ya wakati wa sikukuu tangu mwanzo wa mwaka na mwishowe hutumia fedha nyingi wakati wa sherehe.

 

10 years ago

Mwananchi

Haikuwa busara Rais kutumia namba ya simu ya Marekani

Serikali ya Tanzani iliwahi kutoa mwongozo wa mawasiliano yote ya wafanyakazi wa Serikali na idara zake hasa yaliyohusu baruapepe, simu na vifaa vingine vya Serikali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana waaswa kutumia michezo

VIJANA mkoani Arusha, wameshauriwa kutumia michezo kama sehemu muhimu ya kukuza uhusiano na vipaji walivyonavyo ili kujiepusha na mambo yanayoharibu sifa na haiba zao katika jamii. Ushauri huo umetolewa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani