Ni busara kutumia fedha nyingi kwa sikukuu?
Watu wengi huwa hawajapangia matumizi ya wakati wa sikukuu tangu mwanzo wa mwaka na mwishowe hutumia fedha nyingi wakati wa sherehe.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWIZI WA FEDHA KWA KUTUMIA MTANDAO TISHIO DUNIANI
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Haikuwa busara Rais kutumia namba ya simu ya Marekani
10 years ago
StarTV05 Jan
Viongozi waaswa kutumia maarifa, busara kuilinda Amani.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Viongozi nchini hawana budi kutumia maarifa na busara kuhakikisha wanalivusha salama Taifa mwaka 2015 hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu na maoni ya Katiba vinavyotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Kukosekana kwa umakini na busara kwa viongozi hao kunadaiwa kuwa kunaweza kulifikisha mahali pabaya Taifa.
Ni wakati wa kongamano maalum la kukumbusha wajibu wa kaya na familia na malezi bora kwa vijana lililofanyika katika kanisa la Waadventista Wasabato Chuwini...
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Tanzania ipo kwenye mikakati kukabili wizi wa fedha kwa kutumia mitandao
9 years ago
StarTV17 Aug
UKAWA ya lalamikia jeshi la Polis kutumia nguvu nyingi.
Jeshi la polisi mkoani Mwanza mapema leo limelazimika kutumia mabomu ya kuwatawanya waandamanaji waliotaka kwenda uwanja wa ndege kwa ajili ya kumpokea Waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Umoja wa katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowasa.
Waziri mkuu mstaafu Lowasa amewasili jijini Mwanza mchana jana kwa ajili ya kujitambulisha rasmi kama mgombea urais kwa tiketi ya umoja huo.
Ulinzi uliimarishwa lakini saa chache baadae baadhi ya wakazi na...
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Avunja rekodi ya kutumia taa nyingi katika mti wa Krisimasi
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Mabeki wa pembeni wanaolipwa fedha nyingi
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Wanamichezo waliolipwa fedha nyingi 2014
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m3REVwRCIPA/XujWHTAYhEI/AAAAAAALuEo/EaN9bfVK-AowyddKposPBhOvI2QlN7_1QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.46.16%2BPM.jpeg)
HATUTAKI KUTUMIA NGUVU NYINGI KUWANADI WAGOMBEA NAFASI YA UBUNGE NA UDIWANI-CCM LUDEWA
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilaya Bakari Mfaume katika mkutano wa kamati kuu ya chama hicho uliolenga kujadili utaratibu na mchakato mzima wa uchukuaji fomu za kugombea nafasi hizo.
Alisema kuwa kwa sasa hawataki kukata viuno majukwaani na kuongea sana ili kumfanya akubalike...