WIZI WA FEDHA KWA KUTUMIA MTANDAO TISHIO DUNIANI
Jitihada za serikali katika kupambana na uhalifu wa mitandao imeungwa mkono kutokana na baadhi ya vyuo kuanzisha mitaala yenye somo la ulinzi wa mitandao. Moja ya jitihada za serikali katika kukabiliana na changamoto hiyo ni kupeleka muswada wa kutunga sheria ya uhalifu wa mtandao ya mwaka 2015 katika mkutano wa 19 wa bunge la jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambao ulipitishwa na bunge hilo. Taarifa ya waziri wa Mawasiliano , Sayansi na Teknologia , Profesa Makame Mbarawa kuhusu sheria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Tanzania ipo kwenye mikakati kukabili wizi wa fedha kwa kutumia mitandao
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Wizi wa mtandao unavyozigharimu benki duniani
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s72-c/connect.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s1600/connect.jpg)
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mbaroni kwa wizi wa kutumia silaha
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu nane kwa tuhuma za unyang’anyi wa sh 978,600 kwa kutumia silaha katika Kijiji cha Jasini mpakani mwa Kenya na Tanzania. Akithibitisha kutokea...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Mar
Kortini kwa wizi, utakatishaji fedha
NA FURAHA OMARY
MFANYAKAZI wa Benki ya CRDB, Telesphory Gura (43), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka ya kumwibia mwajiri wake sh. milioni 241 na kutakatisha fedha haramu.
Gura, mkazi wa Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam, alifikishwa mahakamani hapo jana na kupandishwa kizimbani mbele ya Hakimu Mkazi Frank Moshi.
Wakili wa Serikali, Genes Tesha, alimsomea Gura mashitaka matano ya wizi wa sh. 241,163,668 na ya kutakatisha fedha zaidi ya sh....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U1qibVnzsLw/Xpp-X3QzURI/AAAAAAALnS0/Db0ppJ7w4MQaznyK6rnKZBgJ_dsOviCywCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252821%2529.jpg)
Maafisa watendaji 7 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya wizi wa kutumia mashine za POS
Takukuru mkoa wa Njombe imewafikisha mahakamani wilaya ya Makete maafisa 7 watendaji wa vijiji kwa tuhuma ya wizi wa fedha Tshs.99,321,466/- za halmashauri ya wilaya ya Makete,ambazo zilikuwa ni makusanyo ya mapato ya halmashauri kwa kutumia mashine za POS (Point of Sale electronic Machine)
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Njombe Bi.Domina Mukama, amesema kesi zilizofunguliwa mahakamani za maafisa watendaji hao wa vijiji ni.
1.CC.12/2020 Jamhuri dhidi ya Chrispin...
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha
9 years ago
Habarileo06 Jan
Mchungaji aasa jamii kutumia mtandao kwa maendeleo
MCHUNGAJI Hamza Kavenuke wa Kanisa la (EAGT) Kidete, Mufindi mkoani Iringa ametaka matumizi ya wastani ya mtandao ili kuleta maendeleo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qtWLZWAwR98bKPwALM7f0m26enTv2CGJBT8KmHyMmejdlU9vly6OQ2DyLqJgzbdqKP4x1RFcuGV-h*uezr9-knI/3.jpg)
JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU