Wizi wa mtandao unavyozigharimu benki duniani
Zile nyakati za wizi wa kutumia bunduki, mapanga au visu sasa zimepitwa na wakati, badala yake, wahalifu sasa wanatumia njia ya mtandao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWIZI WA FEDHA KWA KUTUMIA MTANDAO TISHIO DUNIANI
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Washtakiwa wizi wa mtandao wasota rumande
Watu watatu wanaokabiliwa na kesi ya wizi wa kimtandao na kujipatia Sh4milioni kwa njia ya udanganyifu, wataendelea kusota rumande hadi Januari 11, mwakani.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Watuhumiwa kuwa na mtandao wa wizi wa madini
Sakata la wizi wa madini ya Tanzanite ya uzito wa kilogramu 15 yenye thamani ya zaidi ya Sh10 bilioni uliotokea katika Mgodi wa Tanzanite One Mining Limited(TML) hivi karibuni limeendelea kuchukua sura mpya baada ya vigogo wawili ndani ya kampuni hiyo kutajwa kuunda mtandao mpana wa wizi wa madini hayo.
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Wizi wa mtandao nchini watikisa sekta ya utalii
Wizi na utapeli kwa njia ya mtandao, umeanza kuitikisa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha baada ya wahalifu wa kimataifa kuingilia mawasiliano ya baruapepe (emails) za mawakala wa utalii.
10 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-I1cf5hw6HFs/VOR0A0M0fNI/AAAAAAAABRw/gTcPxKp2gLw/s72-c/ATM-Theft.jpg)
MAMILIONI YA DOLA YAIBIWA KATIKA MABENKI KUPITIA WIZI MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-I1cf5hw6HFs/VOR0A0M0fNI/AAAAAAAABRw/gTcPxKp2gLw/s1600/ATM-Theft.jpg)
Hii ni kutokana na ukweli kwamba Tishio la uhalifu mtandao na utayari wa kukabiliana nao bado kuna kutowiana ipasavyo ingawa jitihada bado ni kubwa kuweza kukabiliana na...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Teknolojia na uhalifu Wizi wa kimtandao unavyoshamiri duniani
Maendeleo ya sayansi na teknolojia yanalenga kufanya maisha ya binadamu duniani yawe rahisi zaidi.
11 years ago
Mwananchi03 May
Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
>Watu saba wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka ya wizi wa zaidi ya Sh479 milioni mali ya benki hiyo.
10 years ago
Vijimambo15 Feb
Wizi wa fedha kupitia mitandao wazidi kuzitesa benki
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benno-14Feb2015.jpg)
Wizi wa fedha kwa njia ya mtandao kupitia mashine maalum za kutolea fedha (ATM) unaendelea kuzitesa benki mbalimbali nchini ambapo kwa sasa wahalifu hao wanahamisha fedha za wateja wakiwa nje ya nchi kwa kutumia kadi za kutolea fedha.
Wizi huo hufanyika kwa kutumia kadi za kutolea fedha zinazoingiliana na benki zingine (smart card) ambazo mteja wa benki anaweza kutolea fedha akiwa popote duniani kupitia ATM.
Chanzo chetu cha habari kimetufahamisha kuwa wezi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania