Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
>Watu saba wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka ya wizi wa zaidi ya Sh479 milioni mali ya benki hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 May
Mameneja Barclays kortini wizi wa mil.479/-
WATU saba wakiwemo mameneja wawili wa Benki ya Barclays, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XKKhlyPEnrw/U2THzgDMh3I/AAAAAAAFfCM/wy2YRfaHPlE/s72-c/majambazi+(1).jpg)
SABA KIZIMBANI KWA WIZI KATIKA BENKI YA BARCLAYS
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKKhlyPEnrw/U2THzgDMh3I/AAAAAAAFfCM/wy2YRfaHPlE/s1600/majambazi+(1).jpg)
Washtakiwa hao ni Alune Kasililika (38), Neema Batchu (26) wafanyakazi wa benk hiyo, Kakame Julius (38), Iddy Khamis (32), Sezary Msolopa (31), Boniphace Muumba (29) na Ruth Macha (30) wafanyabiashara.
Wakisomewa mashitaka yao mbele ya...
10 years ago
Habarileo29 Nov
Watuhumiwa ujangili sugu 5 wafikishwa kizimbani
WATU watano wanaodaiwa kuwa ni majangili sugu ambao hufanya ujangili huo katika mikoa ya Arusha na Manyara, wamepandishwa kizimbani kujibu mashitaka ya kuhujumu uchumi.
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Polisi sita watuhumiwa mauaji wafikishwa mahakamani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ASKARI sita waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuhusishwa na mauaji ya wafanyabiashara, jana wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia.
Washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.
Mbele ya Hakimu Simba, Wakili wa Serikali Mkuu, Mutalemwa Kisheni, aliwataja washtakiwa kuwa ni Inspekta Bon Mbange mkazi wa Magomeni, F 919 Sajenti Filbert Nemes na Askari wa Kikosi cha Kuzuia...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Vigogo wengine wa Uamsho wafikishwa kortini
VIONGOZI wengine wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ally Mselem na Abdallah Said Alli Sheikh (Madawa), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Kinara wa wizi Barclays atajwa
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaja Ronald Mollel (37) mkazi wa Kimara Bonyokwa kuwa ndiye kinara wa wizi uliofanyika Aprili 15 mwaka huu katika Benki ya...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wazazi wa binti aliyefariki dunia kwa utata wafikishwa kortini
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Polisi: Meneja Barclays alipanga wizi
MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasililika (28), anadaiwa kuchonga mpango wa majambazi kuvamia na kisha kupora kiasi kikubwa cha fedha katika tawi hilo. Katika tukio hilo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U1qibVnzsLw/Xpp-X3QzURI/AAAAAAALnS0/Db0ppJ7w4MQaznyK6rnKZBgJ_dsOviCywCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252821%2529.jpg)
Maafisa watendaji 7 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya wizi wa kutumia mashine za POS
Takukuru mkoa wa Njombe imewafikisha mahakamani wilaya ya Makete maafisa 7 watendaji wa vijiji kwa tuhuma ya wizi wa fedha Tshs.99,321,466/- za halmashauri ya wilaya ya Makete,ambazo zilikuwa ni makusanyo ya mapato ya halmashauri kwa kutumia mashine za POS (Point of Sale electronic Machine)
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Njombe Bi.Domina Mukama, amesema kesi zilizofunguliwa mahakamani za maafisa watendaji hao wa vijiji ni.
1.CC.12/2020 Jamhuri dhidi ya Chrispin...