Watuhumiwa ujangili sugu 5 wafikishwa kizimbani
WATU watano wanaodaiwa kuwa ni majangili sugu ambao hufanya ujangili huo katika mikoa ya Arusha na Manyara, wamepandishwa kizimbani kujibu mashitaka ya kuhujumu uchumi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 May
Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Polisi sita watuhumiwa mauaji wafikishwa mahakamani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ASKARI sita waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuhusishwa na mauaji ya wafanyabiashara, jana wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia.
Washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.
Mbele ya Hakimu Simba, Wakili wa Serikali Mkuu, Mutalemwa Kisheni, aliwataja washtakiwa kuwa ni Inspekta Bon Mbange mkazi wa Magomeni, F 919 Sajenti Filbert Nemes na Askari wa Kikosi cha Kuzuia...
11 years ago
Mwananchi27 May
Mhando, mkewe na wenzao wafikishwa kizimbani D’Salaam
11 years ago
Habarileo28 Mar
Waomba majina ya watuhumiwa ujangili
TAASISI inayoundwa na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Kusimamia Uhifadhi wa Wanyamapori na Matumizi endelevu ya Rasilimali za Hifadhi na Mazingira, wametaka wapewe majina ya viongozi na wafanyabiashara wanaotuhumiwa kujihusisha na ujangili.
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Sugu: Ujangili Ikulu uchunguzwe
SERIKALI imetakiwa ifanye uchunguzi wa kimataifa kubaini watu waliohusika na ripoti iliyoitia doa Serikali kuhusu madai ya kusafirishwa pembe za ndovu kwenye ndege ya Rais wa China, Xi Jinping. Kauli...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJd9w3C1Zd0w1gd-byvnAkboPRX1nbGzdKe*YRG47q8PiUUyqY9GT01D5f-5bMfeyGwmS0npQQKRm-ZXP2xZUP24/breakingnews.gif)
WATUHUMIWA PEMBE ZA NDOVU KIZIMBANI
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Watuhumiwa wa Stakishari wapanda kizimbani
11 years ago
Habarileo19 Jul
409 wakamatwa kwa ujangili sugu Katavi
WATU 409 wanaosadikiwa kuwa majangili sugu wamekamatwa wakifanya ujangili katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi wilayani Mlele mkoa wa Katavi katika kipindi kilichoanzia Juni 2013 hadi Juni mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi09 Jul
KESI: Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa kizimbani