Mhando, mkewe na wenzao wafikishwa kizimbani D’Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Geofrey Mhando na mkewe Eva Mhando wamepandishwa kizimbani, huku Mhando akikabiliwa na shtaka moja la matumizi mabaya ya madaraka na mkewe mashtaka manne, likiwamo la kughushi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Men6UZNCvSI/U4SeKzJZBvI/AAAAAAAFlew/EP-nRTmOyZY/s72-c/mhando1.jpg)
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO WILLIAM MHANDO, MKEWE NA WENZAO WATATU KIZIMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Men6UZNCvSI/U4SeKzJZBvI/AAAAAAAFlew/EP-nRTmOyZY/s1600/mhando1.jpg)
Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, na wenzao watatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka sita ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka, kughushi na kujipatia Sh. Milioni 31.7 kwa njia ya udanganyifu. Kadhalika, Mhando anakabiliwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa kuipa zabuni Kampuni ya Santa Clara Supplies Ltd, huku akijua ana...
10 years ago
Habarileo29 Nov
Watuhumiwa ujangili sugu 5 wafikishwa kizimbani
WATU watano wanaodaiwa kuwa ni majangili sugu ambao hufanya ujangili huo katika mikoa ya Arusha na Manyara, wamepandishwa kizimbani kujibu mashitaka ya kuhujumu uchumi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o1BjZKmwQRemORlPUVyPv-gvs6Pa05BP8AXDd0YzW9is1dHiVE7e-Krh4P3m-2roMuEZcY0zMZdPmjmah42EGN/1.jpg?width=650)
MKURUGENZI WA ZAMANI WA TANESCO, MKEWE WAPANDISHWA KIZIMBANI
11 years ago
Habarileo06 Mar
Kizimbani kwa kumpiga mkewe ngumi, makofi
MKAZI wa mtaa wa Ohio, George Kanyama (68) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kumshambulia mke wake kwa kumpiga.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/e_XL4gbiblg/default.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Jan
10 years ago
Michuzimtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
9 years ago
MichuziWALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Bongo509 Dec
Rapper amuua mkewe na kujiua, mkewe alimsaliti na Trey Songz, Mayweather ashuhudia tukio zima la mauaji!