Kizimbani kwa kumpiga mkewe ngumi, makofi
MKAZI wa mtaa wa Ohio, George Kanyama (68) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kumshambulia mke wake kwa kumpiga.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies03 Dec
INASIKITISHA: Mtunisi afikishwa mahakamani kwa kumpiga mkewe.
Mtunisi alipandishwa katika Mahakama ya Mwanzo Manzese Sinza jijini Dar es Salaam Jumatatu iliyopita, ambapo baada ya kusomewa shtaka lake la kushambulia mwili, mtuhumiwa alikana na hivyo hakimu kuahirisha kesi hiyo hadi Desemba 15 mwaka huu itakapotajwa tena.
Hata hivyo, Mtunisi alishindwa kupewa dhamana baada ya hakimu kutoridhishwa na afya ya mwanamke huyo, Aziz ambaye anaugulia nyumbani.Katika hali nyingine, walinzi wa mahakama hiyo walionyesha mizengwe mikubwa kwa waandishi wa habari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQali9drJvOS2jshJ1UvcH0pF3MtvS7rLGtSlxF7tGemGWjobaEqpMAf2xaquu50AhdjCcj5vHeT30QPILeqa51/Happy.jpg?width=650)
MUME AMUUA MKEWE KWA KUMPIGA MISUMARI KICHWANI
11 years ago
GPLHAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA
10 years ago
Bongo509 Sep
Video ya mchezaji wa NFL akimpiga ngumi mkewe kwenye lifti hadi kuanguka na kuzimia yasambaa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*o1BjZKmwQRemORlPUVyPv-gvs6Pa05BP8AXDd0YzW9is1dHiVE7e-Krh4P3m-2roMuEZcY0zMZdPmjmah42EGN/1.jpg?width=650)
MKURUGENZI WA ZAMANI WA TANESCO, MKEWE WAPANDISHWA KIZIMBANI
11 years ago
Mwananchi27 May
Mhando, mkewe na wenzao wafikishwa kizimbani D’Salaam
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Men6UZNCvSI/U4SeKzJZBvI/AAAAAAAFlew/EP-nRTmOyZY/s72-c/mhando1.jpg)
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA TANESCO WILLIAM MHANDO, MKEWE NA WENZAO WATATU KIZIMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Men6UZNCvSI/U4SeKzJZBvI/AAAAAAAFlew/EP-nRTmOyZY/s1600/mhando1.jpg)
Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, mke wake Eva Mhando, na wenzao watatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka sita ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka, kughushi na kujipatia Sh. Milioni 31.7 kwa njia ya udanganyifu. Kadhalika, Mhando anakabiliwa na matumizi mabaya ya madaraka kwa kuipa zabuni Kampuni ya Santa Clara Supplies Ltd, huku akijua ana...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Jaji Manento: Wafungwa walinishangilia kwa makofi
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wanawake walivyoambulia makofi ya waume zao kwa kusaka maji