Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video ya mchezaji wa NFL akimpiga ngumi mkewe kwenye lifti hadi kuanguka na kuzimia yasambaa

Rais Barack Obama wa Marekani amemlaani vikali mchezaji wa timu ya football Baltimore Ravens, Ray Rice baada ya video inayoonesha akimpiga ngumi mchumbawa wak, Janay Palmer hadi kuanguka chini akizimia wakati wakibishana wakiwa kwenye lifti. Tukio hilo lilitokea huko Atlantic City mwezi February mwaka huu lakini video hiyo imewekwa na mtandao wa TMZ jana Jumatatu. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AUGUST ALSINA AENDELEA NA MATIBABU BAADA YA KUANGUKA JUKWAANI NA KUZIMIA

MWANAMUZIKI wa R&B wa nchini Marekani, August Alsina anaendelea na matibabu hospitali baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo na kuanguka jukwaani usiku wa kuamkia jana wakati akitumbuiza katika ukumbi wa Irving Plaza jijini New York. August Alsina. Mwakilishi wa mwanamuziki huyo amesema August yupo ICU katika hospitali moja jijini New York City anapoendelea kupata… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezaji wa NFL ajitangaza kuwa shoga

Mchezaji wa timu ya ligi ya soka ya Marekani, National Footbal League ,Michael Sam amejitangaza kuwa shoga .

 

10 years ago

GPL

NAIBU SPIKA JOB NDUGAI AMPIGA MGOMBEA MWENZIE HADI KUZIMIA

Dk. Joseph Chilongani aliyepigwa akiwa amezimia. Job Ndugai. Mbunge wa Kongwa kwa tiketi ya CCM aliyemaliza muda wake ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amempiga mgombea mwenzie wa nafasi ya ubunge, Dk. Joseph Chilongani kwa madai ya kumpiga picha wakati anafanya fujo kwenye mkutano wa kampeni wa kura za maoni. Soma zaidi====>… ...

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kumpiga mkewe ngumi, makofi

MKAZI wa mtaa wa Ohio, George Kanyama (68) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kumshambulia mke wake kwa kumpiga.

 

10 years ago

Habarileo

Ajinyonga hadi kufa kwa gauni la mkewe kwa wivu

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Afya ya Mugabe yazidi kuwa utata baada ya kutaka kuanguka hadharani India

mugabe-robert9Maafisa wa nchini Zimbabwe wamekanusha tetesi za kuwa afya ya Rais Robert Mugabe imezidi kuwa mgogoro baada ya Jumamosi kukaribia kuanguka hadharani. Mugabe alionekana akipepesuka wakati alipokuwa akipanda jukwaani katika mkutano wa India na Afrika wiki hii. Video zilizosambaa mtandaoni zinamuonesha waziri mkuu wa India Narendra Modi akimsaidia kumshika mkono Mugabe mwenye miaka 91. Msemaji […]

 

9 years ago

Mtanzania

Mabeste na mkewe kwenye ‘Usiwe Bubu’

MabesteNA SHARIFA MMASI

MSANII wa hip hop nchini, William Ngwi ‘Mabeste’, anatarajiwa kuachia wimbo mpya alioimba peke yake utakaotamba kwa jina la ‘Usiwe Bubu’.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Mabeste alisema lengo la wimbo huo ni kuelimisha jamii kuwa na desturi ya kuweka mambo wazi ili kupata ufumbuzi utakaowatatulia matatizo.

“Niko njiani kuachia ngoma mpya itakayosikika masikioni mwa mashabiki kwa jina la ‘Usiwe Bubu’ ambayo nimeimba bila kumshirikisha mtu.

“Natoa wito kwa mashabiki wa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Future amtumia Blac Chyna kwenye video mpya ‘Rich $ex’, aitoa kwenye birthday ya Tyga

future na Chyna

Rapper Future ameachia video mpya ya wimbo wake uitwao ‘Rich $ex’, na kwenye video hiyo amemtumia Blac Chyna kama mpenzi wake.

future na Chyna

Japo kuwa Future ambaye ni ex na baby dady wa Ciara na Chyna ambaye ni ex na baby mama wa Tyga wamekuwa wakikanusha kuwa sio wapenzi, lakini video hii inalazimisha kuamini kuwa wanatoka.

Blac-Chyna-Future-tattoo

Kingnie cha kushangaza ni hiki, October 25 ambayo ni siku aliyozaliwa Ciara, ndio siku ambayo Blac Chyna alionesha tattoo ya jina la Future mkononi na kufanya watu waamini kuwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani