Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Manento: Wafungwa walinishangilia kwa makofi

Kwa muda mrefu wanaharakati wamekuwa wakiunyooshea kidole muhimili wa mahakama kwa kutumia muda mrefu kuendesha kesi na kusababisha mrundikano wa mahabusu na wafungwa magerezani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Jaji Manento: Sitasahau mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi

Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Amiri Manento amesema jambo kubwa alilolipitia wakati wa uongozi wake lilikuwa ni kifo cha mwandishi wa habari, Daudi Mwangosi baada ya kupigwa bomu na polisi, mkoani Iringa mwaka 2012.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kumpiga mkewe ngumi, makofi

MKAZI wa mtaa wa Ohio, George Kanyama (68) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kumshambulia mke wake kwa kumpiga.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake walivyoambulia makofi ya waume zao kwa kusaka maji

Ustawi wa jamii yoyote, hata maendeleo hutegemea upatikajanaji wa maji safi na salama ambayo ni kichocheo muhimu kinachowapa fursa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kukuza uchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Msumi hajajifunza kwa Jaji Warioba?

BAADA ya kusikia matusi, kejeli na mipasho toka kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba dhidi ya Jaji Joseph Warioba, sasa macho na masikio tunaelekeza kwa Jaji mstaafu Hamis Msumi...

 

11 years ago

Habarileo

Maiti yapigwa makofi

MAZIKO ya mtuhumiwa wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani hapa, Charles Kichune, yamesuswa na ndugu zake. Tangu Kichune afariki dunia Februari 9 kwa ugonjwa wa pumu katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, hakuna ndugu aliyefika kuchukua mwili huo.

 

10 years ago

GPL

EMSII WA MSIBA HAPIGIWI MAKOFI!

Niaje…niaje wanangu hapo kwa fasi ya kitaa? Ama nini? Kama mpo biyee basi mzuka machalii wangu.
Tudei bana ngoja tugonge stori za kitaani kwangu. Aisee pale kitaani kuna drama hatari. Weka mbali na majanki! Ni hapa tu kwa fasi ya Sinza, Bongo tambarare wanangu kama vipi mnaweza kujisogeza kitaa hiki tuone inakuwa nini!Mzazi nikisema nikupe ishu moko afta nyingine ni parefu hata gazeti lote halitoshi bati ngoja nikumegee...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwalimu apigwa makofi na mtawa

Mwalimu mmoja wa somo la kiingereza amepigwa makofi na mtawa baada ya kutoa kiti chake katika treni kwa wanawake wawili.

 

11 years ago

GPL

GLOBAL WAFUNGWA MBILI KWA MOJA KWA TABU SANA

Kikosi cha Global Publishers kikiwa uwanja wa Barafu Mburahati. ...Kikosi cha Kigoma all stars' Kigoma Utd' kikiwa uwanja.…

 

11 years ago

Mwananchi

Majaji Manento, Lubuva walumbana

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu, Amir Manento na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Mstaafu, Damian Lubuva jana walilumbana mbele ya wafadhili kuhusu ufanisi wa Nec katika chaguzi mbalimbali nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani