Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maiti yapigwa makofi

MAZIKO ya mtuhumiwa wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani hapa, Charles Kichune, yamesuswa na ndugu zake. Tangu Kichune afariki dunia Februari 9 kwa ugonjwa wa pumu katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime, hakuna ndugu aliyefika kuchukua mwili huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya kugombea maiti yapigwa kalenda

MKE wa pili wa marehemu ,Stephen Assei (52) ,Fortunata Lyimo ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, kumpatia siku 14 kwa ajili ya kutafuta wakili atakayemsaidia katika kesi ya kugombea maiti....

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwalimu apigwa makofi na mtawa

Mwalimu mmoja wa somo la kiingereza amepigwa makofi na mtawa baada ya kutoa kiti chake katika treni kwa wanawake wawili.

 

10 years ago

GPL

EMSII WA MSIBA HAPIGIWI MAKOFI!

Niaje…niaje wanangu hapo kwa fasi ya kitaa? Ama nini? Kama mpo biyee basi mzuka machalii wangu.
Tudei bana ngoja tugonge stori za kitaani kwangu. Aisee pale kitaani kuna drama hatari. Weka mbali na majanki! Ni hapa tu kwa fasi ya Sinza, Bongo tambarare wanangu kama vipi mnaweza kujisogeza kitaa hiki tuone inakuwa nini!Mzazi nikisema nikupe ishu moko afta nyingine ni parefu hata gazeti lote halitoshi bati ngoja nikumegee...

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kumpiga mkewe ngumi, makofi

MKAZI wa mtaa wa Ohio, George Kanyama (68) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kumshambulia mke wake kwa kumpiga.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Manento: Wafungwa walinishangilia kwa makofi

Kwa muda mrefu wanaharakati wamekuwa wakiunyooshea kidole muhimili wa mahakama kwa kutumia muda mrefu kuendesha kesi na kusababisha mrundikano wa mahabusu na wafungwa magerezani.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanawake walivyoambulia makofi ya waume zao kwa kusaka maji

Ustawi wa jamii yoyote, hata maendeleo hutegemea upatikajanaji wa maji safi na salama ambayo ni kichocheo muhimu kinachowapa fursa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kukuza uchumi.

 

9 years ago

Global Publishers

Arsenal yapigwa 4-0 na Southampton

2F9FFFBA00000578-0-image-a-170_1451162623784

Kiungo wa Southampton Steven Davis (kulia)akiwania mpira na kiungo mkabaji wa Arsenal Mathieu Flamini kwenye mtanange huo.2FA00EB000000578-0-image-a-142_1451162408480Cuco wa Southampton akishangilia goli la kwanza dhidi ya Arsenal.2FA00D0B00000578-0-image-a-152_1451162463489Wachezaji wa Arseal wakiwa hawaamini kinachoendelea.2FA01CD600000578-0-image-a-191_1451164309742 2FA02D9D00000578-0-image-a-204_1451165645707 2FA020C100000578-0-image-a-180_1451163938970

Mshambuliaji wa Southampton Shane Long akipachika kimiani goli la pili.

2FA038DA00000578-3374939-image-m-10_1451166803425….Akishangilia 2FA0003600000578-0-image-a-167_1451162575281

Theo Walcott(kushoto) akikabiliana na mchezaji wa Southampton

 

9 years ago

BBCSwahili

Chile yapigwa na tetemeko

Serikali yahamisha wakazi wa eneo la Pwani takriban milioni moja

 

9 years ago

Mtanzania

Mita 200 yapigwa marufuku

Pg 4 oct 24Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetamka bayana kwamba hairuhusiwi watu kukutana mahali popote bila kujali umbali wake siku ya uchaguzi kesho.

Uamuzi huo ulitolewa na jopo la majaji watatu waliokuwa wakisikiliza mvutano wa kisheria kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.

Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo na Jaji Lugano Mwandambo kwa nyakati tofauti walipokuwa wakisoma uamuzi huo, walisema wamezingatia hoja zilizowasilishwa na pande mbili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani