Mita 200 yapigwa marufuku
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetamka bayana kwamba hairuhusiwi watu kukutana mahali popote bila kujali umbali wake siku ya uchaguzi kesho.
Uamuzi huo ulitolewa na jopo la majaji watatu waliokuwa wakisikiliza mvutano wa kisheria kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.
Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo na Jaji Lugano Mwandambo kwa nyakati tofauti walipokuwa wakisoma uamuzi huo, walisema wamezingatia hoja zilizowasilishwa na pande mbili...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo22 Oct
Kesi mita 200 moto.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/Mahakama.jpg)
Dk. Ackson alidai mahakamani hapo kuwa maombi ya kesi ya kikatiba ya kutaka tafsiri ya kifungu cha 104 cha Sheria ya Uchaguzi yamewasilishwa na walalamikaji kwa kutumia sheria isiyostahili...
10 years ago
BBCSwahili27 May
Bolt ashinda mita 200
9 years ago
Habarileo21 Oct
Tume: Kukusanyika mita 200 ni hujuma
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesisitiza kuwa pamoja na kwamba sheria zote za uchaguzi, zinaruhusu mpigakura kukaa umbali wa mita 200 mpaka 300 kutoka kwenye kituo chake cha kupigiakura, umbali huo, hauruhusu watu kukusanyika kwa kisingizio cha kulinda kura.
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Kesi ya mita 200 kuanza leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo linatarajia kuanza kusikiliza kesi ya kikatiba kuhusu haki ya mpigakura kukaa umbali wa mita 200 kama ni sahihi au la.
Jopo hilo la majaji Seleman Kihiyo, Aliyisius Mujuluzi na Lugano Mwandambo, liliteuliwa baada ya mgombea ubunge wa Viti Maalumu Jimbo la Kilombero kupitia Chadema, Amy Kibatala, kufungua kesi hiyo kupitia kwa wakili Peter Kibatala.
Katika maombi yake, anaomba Mahakama Kuu ya...
9 years ago
Habarileo21 Oct
Kesi ya kukaa mita 200 leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imeshindwa kusikiliza kesi kikatiba kuhusu uhalali wa kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupiga kura, kwa kuwa upande wa Jamhuri haujawasilisha utetezi wao.
9 years ago
Mtanzania23 Oct
Uamuzi mita 200 kutolewa leo
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
JOPO la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo watatoa uamuzi wa mvutano mkali kuhusu kukaa mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura.
Mwenyekiti wa jopo hilo, Sekieti Kihiyo, alisema hayo jana akiwa pamoja na majaji wenzake, Aloycius Mujuluzi na Lugano Mwandambo.
“Jana (juzi) tuliwaambia leo tutatoa maelekezo muhimu, kesho(leo) saa nne tutatoa uamuzi,”alisema Jaji
Kihiyo.
Majaji hao walifikia hatua ya kutoa uamuzi huo baada ya kusikiliza hoja...
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Suala la kusimama mita 200 linahitaji busara
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kova: Mita 200 za Ukawa zilitunyima usingizi