Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake walivyoambulia makofi ya waume zao kwa kusaka maji

Ustawi wa jamii yoyote, hata maendeleo hutegemea upatikajanaji wa maji safi na salama ambayo ni kichocheo muhimu kinachowapa fursa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kukuza uchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kamanda: Wanawake wawajibike kwa waume zao

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jafari Mohamed amewasihi wanawake walioolewa kuwajibika katika masuala ya unyumba kama maandiko ya dini yanavyoelekeza.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake wanavyoteswa na waume zao Zanzibar

Wanawake wanachukuliwa kama ni watu wa kubaki katika ndoa kutii amri za mume hata kama amri hizo siyo za haki, heshima au zinavunja utu wa mwanadamu.

 

10 years ago

GPL

NAONGEA NA JIDE NA WANAWAKE WANAOPIGWA NA WAUME ZAO

Jumanne tena! Jumanne hii iko ndani ya msimu wa sikukuu, kuna Krismas na Mwaka Mpya! Lakini sikukuu ya kwanza ni Mwaka Mpya halafu inakuja Krismas, si ndiyo?Wiki hii nina mada nzito jamani! Ndiyo maana nimeipa uzito wa kichwa kisemacho; naongea na Jide na wanawake wanaopigwa na waume zao. Mada hii kwanza inataka utulivu kuielewa kwani mtu akisoma kwa juujuu anaweza kutoka kapa. Lakini naamini wasomaji wangu wote wana ufahamu...

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake wasaidie waume wasife kwa wingi barabarani

WANAWAKE wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko kwa kuwatahadharisha wenzi wao kuwa makini wanapokuwa barabarani kutokana na takwimu kuonesha ajali nyingi za vifo zimekuwa zikihusisha zaidi wanaume.

 

10 years ago

Mwananchi

AFYA: Sumu huathiri waume, watoto wa wanawake wanaotumia mikorogo

>Nuru Masoud, mkazi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam, amekuwa akijishughulisha na biashara za vipodozi vya asili, maarufu kama mkorogo.

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAJI, MAKALLA AWANASA WEZI WA MAJI DAR NA KUTANGAZA KUFILISI MALI ZAO.


Meneja Mkuu wa Kampuni ya ufyatuaji matofali ya Ujenzi Solutions, ya Kimara kwa Msuguri, Dar es Salaam, Rahim Hamis na mfanyabiashara wa kampuni isiyo na jina, Credo Rajab (kulia) wakiwa chini ya uliznzi wa Polisi huku wakiwa wamevishwa pingu baada Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla kuamuru kuwakamata alipokagua viwanda vyao vya ufyatuaji na kugundulika kuwa wanatumia maji isivyo halali kwa kujiunganishia kwenye bomba kuu la Mamlaka ya Maji Safi na Taka Dar  ws Salaam (DAWASA). ...

 

10 years ago

Habarileo

Dar yahaha kusaka maji

WAKAZI wa maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam, wamekuwa wakihangaika kutafuta majisafi kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa. Wanawake na watoto wamekuwa wakionekana wakiwa na ndoo kuanzia asubuhi hadi jioni, wakisaka bidhaa hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Watembea kilometa 20 kusaka maji

KUTOKANA na ukosefu wa huduma ya maji kwenye Kitongoji cha Arpau, Kijiji cha Komolo Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, huwalazimu wananchi wa eneo hilo kutembea kilomita 20 kwenda na kurudi nyumbani kufuata maji mtoni.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Manento: Wafungwa walinishangilia kwa makofi

Kwa muda mrefu wanaharakati wamekuwa wakiunyooshea kidole muhimili wa mahakama kwa kutumia muda mrefu kuendesha kesi na kusababisha mrundikano wa mahabusu na wafungwa magerezani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani