Wanawake wasaidie waume wasife kwa wingi barabarani
WANAWAKE wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko kwa kuwatahadharisha wenzi wao kuwa makini wanapokuwa barabarani kutokana na takwimu kuonesha ajali nyingi za vifo zimekuwa zikihusisha zaidi wanaume.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Kamanda: Wanawake wawajibike kwa waume zao
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Jafari Mohamed amewasihi wanawake walioolewa kuwajibika katika masuala ya unyumba kama maandiko ya dini yanavyoelekeza.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w-h3f9xhKJc/VeYK32cs29I/AAAAAAAH1r4/s7ADmS9Y9ns/s72-c/_MG_0746.jpg)
WANANCHI WA MASASI WAMKUBALI MAGUFULI,WAJITOKEZA KWA WINGI BARABARANI KUMLAKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-w-h3f9xhKJc/VeYK32cs29I/AAAAAAAH1r4/s7ADmS9Y9ns/s640/_MG_0746.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-529SteFCmH8/VeYK4CcOaqI/AAAAAAAH1rU/vvneTeIWn5Q/s640/_MG_0751.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Wanawake walivyoambulia makofi ya waume zao kwa kusaka maji
Ustawi wa jamii yoyote, hata maendeleo hutegemea upatikajanaji wa maji safi na salama ambayo ni kichocheo muhimu kinachowapa fursa wananchi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kukuza uchumi.
9 years ago
Michuzi04 Oct
WANAWAKE JITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA - MAMA SALMA KIKWETE
Na Anna Nkinda – TarimeWANAWAKE wilayani Tarime wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwezi huu itakapofika na wachague viongozi watakaowaona wanafaa ambao watawaletea maendeleo.
Rai hiyo imetolewa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wa wilaya hiyo iliyopo mkoani Mara katika ukumbi wa mikutano uliopo katika hoteli ya CMG.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kupitia wilaya...
Rai hiyo imetolewa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wa wilaya hiyo iliyopo mkoani Mara katika ukumbi wa mikutano uliopo katika hoteli ya CMG.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kupitia wilaya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-csf5Xt_ck2Q/VeWfyEtTt1I/AAAAAAAAADo/Ox8EyMDsAis/s72-c/10.jpg)
WANAWAKE WAASWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUKIPINGIA KURA CHAMA CHA MAPINDUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-csf5Xt_ck2Q/VeWfyEtTt1I/AAAAAAAAADo/Ox8EyMDsAis/s640/10.jpg)
Akizungunguza na wanawake wa wa Kata ya Makolongoni Mbunge wa viti maalum mkoani Iringa Rose Tweve aliwataka wananchi kutobabaishwa na wapinzani kwani hawana nia njema na watanzania na kusema kuwa chama hicho kina misingi ya kutetea amani ya Nchi. "sisi sote ni wanawake niwaombeni sana tukipigie kura...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Wanawake wanavyoteswa na waume zao Zanzibar
Wanawake wanachukuliwa kama ni watu wa kubaki katika ndoa kutii amri za mume hata kama amri hizo siyo za haki, heshima au zinavunja utu wa mwanadamu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCty0x5g3qdb3WDeQkNRGXPriT6GMC-kZ8xfVVyfLl9bGsoGig02ipYm50UGSkfZnBpOiKNsFlRDRe4AcKQb-OuB/Jide.jpg)
NAONGEA NA JIDE NA WANAWAKE WANAOPIGWA NA WAUME ZAO
Jumanne tena! Jumanne hii iko ndani ya msimu wa sikukuu, kuna Krismas na Mwaka Mpya! Lakini sikukuu ya kwanza ni Mwaka Mpya halafu inakuja Krismas, si ndiyo?Wiki hii nina mada nzito jamani! Ndiyo maana nimeipa uzito wa kichwa kisemacho; naongea na Jide na wanawake wanaopigwa na waume zao. Mada hii kwanza inataka utulivu kuielewa kwani mtu akisoma kwa juujuu anaweza kutoka kapa. Lakini naamini wasomaji wangu wote wana ufahamu...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
AFYA: Sumu huathiri waume, watoto wa wanawake wanaotumia mikorogo
>Nuru Masoud, mkazi wa Kinondoni jijini Dar es Salaam, amekuwa akijishughulisha na biashara za vipodozi vya asili, maarufu kama mkorogo.
11 years ago
Michuzihoja ya haja: Wingi wa Askari wa Usalama Barabarani na Matumizi Sahihi ya Muda wa Kazi na Rasilimali Watu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania